Shamba zuri linauzwa.

Shamba zuri linauzwa.

Kisima

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2010
Posts
4,438
Reaction score
5,441
Wapendwa WanaJF, nina shamba langu zuri ekari 17 Turiani Morogoro, naliuza kwa Tsh 8,000,000/=
Kwanini ni zuri? Soma features zake hapa;
1) 70% ya shamba ambalo ni tambarare imezungukwa na mto usiokauka.
2) Lina udongo wenye rutuba nyingi, kwani nimelima awamu moja tu kwa trekta tangu nilipate. Na linafaa kwa kilimo cha mazao yote kuanzia matikiti,vitunguu, ufuta n.k
3) Lina kivuli cha miti ya matunda kama vile mifenesi,parachichi na mikorosho. Kivuli hiki kinavutia kwa ufugaji wa samaki,kuku na ngombe na mifugo mingine.
4) Kuna nyumba ya kudumu yenye fremu ya duka kwajili ya huduma ndogondogo kwa majirani na pia malazi kwa mlinzi wa shamba.
5) Kuna vifaa vyote vya bustani kv waterpump, mitungi ya kupulizia dawa etc ambavyo vyote vipo inclusive kwenye bei tajwa hapo juu.
6)Usafiri ni wa uhakika na gari linafika mpaka shamba.
Kwa wenye kuhitaji niPM ila udalali hautakiwi!
KARIBUNI SANA.
 
Ukishauza huko uje nikuuzie eneo langu bagamoyo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ukishauza huko uje nikuuzie eneo langu bagamoyo


Sent from my iPhone using JamiiForums

Hata huko ninalo tena kubwa ila halifikii uzuri wa hili la Turiani!
kwanini usingefungua uzi wako kama nia ni kuuza? Btw nitaftie mteja niuze ili tuungane huko ila usitegemee kuwa ntakupa hela ya udalali!
 
Uzi wa nini Mimi nauzia Hapa Hapa kwako tu,udalali binafsi siupendi,wacha tuone akitokea ntakupa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
It sounds like a very good deal I wish I had the money I wouldn't think twice.
 
Mkuu ... mbona stage uliyifikia shambani.. Mwalimu ni nzuri sana ... nini kimekusibu kuuza at a throw away price

The worth of your farm are your efforts
 
Mkuu ... mbona stage uliyifikia shambani.. Mwalimu ni nzuri sana ... nini kimekusibu kuuza at a throw away price

The worth of your farm are your efforts

Exactly, the worth of my farm are my efforts but needs exerts and all means of supports for the owner to be successful!
I got some crutial issues on my ways na got no where/one to overcome rather than disposing one of non current assets.
See how an emerging entrepreneurs stack in his/her daily life of hastling and struggling!
"I will fail over and over again but eventually i will become successful"
 
It sounds like a very good deal I wish I had the money I wouldn't think twice.

You are absolutely right mkuu. And if i would have had the money to sustain my instant needs i wouldn't dare to dispose this farm. Guys make a quick desicion to acquire this piece of land, you wont regret having it in your hands.
 
Bei nzuri sana.

Kiukweli ni bei nzuri sana ukilinganisha thamani ya shamba na location... ni sawa na bure!
Somebody should glance at it with an eagle eyes. Ukiliona hutasita kulinunua.
 
Wafugaji wako umbali gani?

Hawapo mbali sana ila they are well discplined, ni nadra sana kufanya uchafuzi na ikitokea hivyo huwajibishana wenyewe kabla mwathirika hajachukua hatua na we have a strong&good relationship. Ni Mang'ati,nafikiri una uzoefu nao kama we ni mdau mzuri mashambani.
 
Kuna umbali gani kutoka shambani hadi kwenye barabara ya kudumu yaani (masika,kiangazi )inapitika????????
 
Hiyo ardhi nzuri sana ila nashindwa kuelewa kwanini unaiuza ilihali mabufaa yake yako kedekede?

Ukisema hivyo unaniumiza mkuu make si kila kiuzwacho siyo kwamba mmriki kakichoka, ila sometimes one might find helpless and the decision to do so means there is something trigged him to sell even for a "throw away value"
 
Kuna umbali gani kutoka shambani hadi kwenye barabara ya kudumu yaani (masika,kiangazi )inapitika????????

Hamna umbali mkubwa almost 4km kutoka barabara kuu ambayo sasa hivi ipo kwenye ujenzi wa lami kutoka Magole(Dumila) kuunganisha mkoa wa Moro-Tanga-Arusha.
Kutoka Dar mpaka shamba maximum masaa matatu.
 
Tangazo limetulia ila Dah !!I wish na mimi ningekuwa na hiyo pesa ila gud luck..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom