Shamba zuri linauzwa.

Shamba zuri linauzwa.

Niko serious na ununuzi wa shamba hili naomba kujua haya:

Lina hati ya kijiji au?
Hayo maji ya mto ni throughout the year au?
Je wewe ndiye mmiliki halali au la familia?
Ni KM ngapi from main road
Kuna huduma gani karibu mf zahanati (Km ngapi, Ofisi ya serikali ya kijiji?)
Kuna majirani au ni mashamba tu?

Naomba majibu mkuu.

Mkuu samahani sana kwa kuchelewa kujibu maswali yako.
1) Shamba hili ni mali yangu mwenyewe nililipata kwa kununua kwa mtu na manunuzi yalifanyika rasmi kwa ushuhuda na usimamizi wa serikali ya kijiji. Hivyo utakaponunua, pasipo kukiuka maelezo ya tangazo hili pia ntakukabidhi rasmi mkataba wa mauziano ya awali wa shamba hili(shfting of ownership property)
2) Maji niya uhakika mwaka mzima.
3) Kutoka barabara kuu ni km5 na limezungukwa na mashamba makubwa ya miwa na watu ni wengi tu(sio porini)
4) Huduma ya Zahanati ipo km2 kutoka shambani pia huduma nyingine za kijamii zinapatika kirahisi kabisa.
Nakukaribisha sana mkuu tuongee kuhusu manunuzi.
 
Bei gani?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Perfect.....

Mkuu dikembe kalicheki basii,usiache chance kama hii ikupite hivi hivi then nijulishe tunaweza kuongea kitu....
Me ningekuwepo karibu ingenihusu c unajua...
 
Last edited by a moderator:
Kaka hili shamba tayari ulipata mteja? Au vipi? Naomba kufahamu maana nipo serious sana nahitaji hilo shamba
 
Ebwana dili zuri... Bado lipo?

Mkuu samahani sana natumia simu kuingia JF hivyo sio rahisi kupata notifications hivyo mpaka nisearch huu uzi na ukizingatia bandiko ni la muda sana tangu niliweke humu.
Kifupi shamba bado halijapata mteja mpaka leo japo kuna baadhi ya JF members kama kunta Kinte walishakuja kuliona wakaahidi kurudi mpaka sasa bado wanajipanga!
Good news ni kwamba serikali imeamua kuyapima na kuweka beacons mashamba(ardhi) yetu yote wilayani mvomero ili kuyaongezea thamani na kupunguza migogoro!
Nakushauri uje ununue haraka sana kama wewe ni mhitaji ili usije ukajutia kukosa fursa hii adhimu. Nicheck kwa PM for a quick and random response!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
mkuu kisima hili shamba bado lipo?

Mkuu rowbee915 shamba bado lipo nakusihi uwahi mapema halina muda mrefu thamani yake itapanda maradufu make nipo kwenye mpango wa kulikatia hati miriki.
Karibu sana!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu dikembe kalicheki basii,usiache chance kama hii ikupite hivi hivi then nijulishe tunaweza kuongea kitu....
Me ningekuwepo karibu ingenihusu c unajua...

Mkuu Rapunzel bado upo mbali tu?
Tuma hela kwa nduguyo akuchukulie asset hii mapema! tuendako ni kugumu mno bila ardhi. Mabepari wengi wamejitwalia maelfu ya ardhi huko vijijini waendelee kujineemesha! Hadi Wakenya wanamiriki ardhi huku na hamna anaewahoji wanajilimia tu na kupiga hela ndefu. Karibuni mashambani jamani mpate mali!
 
Last edited by a moderator:
Kaka hili shamba tayari ulipata mteja? Au vipi? Naomba kufahamu maana nipo serious sana nahitaji hilo shamba

Mkuu bado sijapata mteja hivyo nakukaribisha sana kwajili ya manunuzi. Pia nimekutumia PM kunipata kirahisi, usisite kunitafta mkuu muda wowote.
 
Mkuu bado sijapata mteja hivyo nakukaribisha sana kwajili ya manunuzi. Pia nimekutumia PM kunipata kirahisi, usisite kunitafta mkuu muda wowote.
Simple Question,
Why unaliuza??
 
Simple Question,
Why unaliuza??

Nauza kwa sababu kuna mahala nimefika kiutaftaji nikakwama ndiyo maana nauza asset, nimejaribu mkopo masharti kibao na sina collateral.
Anyway usinichoshe sana mkuu shida yangu ni hela nipate nijipange tena upya!
 
Wakuu shamba langu bado halijapata mteja mpaka sasa.
Sasa, nimeamua kulikodisha kwa wale wote ambao mtahtaji kulima kilimo cha umwagiliaji ninawakaribisha sana.
Aliye tayari nitamkodishia sh60k kwa ekari. Mashine ya umwagiliaji na vifaa vyote vya kilimo hiki ninavyo.
Mwenye uhitaji anitafte kupitia namba zangu hapo juu.
 
Wakuu shamba langu bado halijapata mteja mpaka sasa.
Sasa, nimeamua kulikodisha kwa wale wote ambao mtahtaji kulima kilimo cha umwagiliaji ninawakaribisha sana.
Aliye tayari nitamkodishia sh60k kwa ekari. Mashine ya umwagiliaji na vifaa vyote vya kilimo hiki ninavyo.
Mwenye uhitaji anitafte kupitia namba zangu hapo juu.

Ni mazao gani yanastawi hapo mkuu?
 
Ni mazao gani yanastawi hapo mkuu?

Mkuu Kyenju mazao mengi yanastawi pale shamba maana ni shamba jipya lenye rutuba ya kutosha.
Baadhi ya mazao niliyokwisha lima nimeyaorodhesha mwanzo kabisa wa thread hii.
Nakukaribisha sana mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu doper na wengine mlioniPM naomba mnipgie kwa namba yangu +255715083408 internet inasumbua sana nashindwa kupost.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom