SHAMBA LINAHITAJIKA

Shayla

Senior Member
Mar 25, 2014
193
129
Wakuu natanguliza shukrani,

Natafuta shamba kwa ajili ya kufuga maeneo ya Kibaha mpaka Mlandizi.

Na maeneo ya mvuti na kuendelea.

Aliyenalo au kuna mtu au co. Wanauza naomba Ani PM



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom