Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Ni kweli jamani mbolea ipelekwe kwenye mashamba yasiyokuwa na rutuba ili nayo pia yaweze 'kutoa mazao bora'.
Utakuta mtu anauwezo mkubwa kifedha anaoa au anaolewa na mtu mwenye uwezo pia, kwanini watu wenye uwezo wasioe au kuolewa na watu wasiokuwa na uwezo ili angalao tupunguze umasikini katika jamii zetu?
Angalia mifano;
Mume mbunge mke mbunge
Mume spika mama waziri
Mama ana degree tatu mme anazo tatu
N.k...
Tena wako warembo wa nguvu ila hawajasoma kabisa ila wako safi tu na maadili yao yako juu! Pia mijibaba iliyo kwenda angani lakini iko hoi kimaisha!
Jamani mnionaje hii....ni sawa kuliongezea mbolea shamba lenye rutuba?
Utakuta mtu anauwezo mkubwa kifedha anaoa au anaolewa na mtu mwenye uwezo pia, kwanini watu wenye uwezo wasioe au kuolewa na watu wasiokuwa na uwezo ili angalao tupunguze umasikini katika jamii zetu?
Angalia mifano;
Mume mbunge mke mbunge
Mume spika mama waziri
Mama ana degree tatu mme anazo tatu
N.k...
Tena wako warembo wa nguvu ila hawajasoma kabisa ila wako safi tu na maadili yao yako juu! Pia mijibaba iliyo kwenda angani lakini iko hoi kimaisha!
Jamani mnionaje hii....ni sawa kuliongezea mbolea shamba lenye rutuba?