mwagito25
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 633
- 352
Mwenye uhitaji wa shamba la zabibu lipo ndani ya mradi wa umwagigiliaji (irrigation scheme) lenye ukubwa wa ekari moja na nusu , lina zabibu tayari ,ambapo unahudumia kisha unavuna, bei ni 19 Milioni, hakuna gharama zingne . Ambaye yupo tayari karibuni