Shamba la zabibu Dodoma

Shamba la zabibu Dodoma

Hata ukiamuabkununua ekari 5 ambalo Ni pori usafishe uchinbe mitaro na upande Michelle Kisha uikuze Hadi itakapo anza kuzaa haitafika M 5 MUOTE="mbu wa dengue, post: 31831804, member: 229471"]
Dah sawa
[/QUOTE]
 
Hata ukiamuabkununua ekari 5 ambalo Ni pori usafishe uchinbe mitaro na upande Michelle Kisha uikuze Hadi itakapo anza kuzaa haitafika M 5 MUOTE="mbu wa dengue, post: 31831804, member: 229471"]
Dah sawa
[/QUOTE]Ekari tano uchimbe mitaro, utafute maji na mbolea ,miti na uhudumie mpka kuvuna isifike m5??? Labda unazungumzia kilimo cha mchicha na sio zabibu maana hadi mwanao ambaye hujamzaa angekuwa na shamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tani 8 = 8000kg
1kg = 1500
1500 × 1800 = 12,000,000
Sasa wewe mbona wauza mil 19?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni mavuno ya msimu mmoja kumbuka shmba hukodi unanunua kabisa na maji sio tatizo hili shamba lipo ndani ya mradi zaidi ya ekari mia tatu (closure system) kama unavuna msimu mmoja kiasi hcho kwa maana hyo mwaka mmoja usharudisha gharama zako, na usisahau kuwa ni zao la kudumu ukipanda mpka unakufa labda uwe kijukuu cha mtume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SHAMBA LENYE UKUBWA WA EKARI MOJA NA NUSU LINAUZWA. LINA ZABIBU NYEUPE KWA KIASI KIKUBWA . LINA MIAKA MINNE TANGU LIPANDWE. LIPO KWENYE SCHEME YA UMWAGILIAJI HIVYO MAJI NI UHAKIKA MWAKA MZIMA . BEI NI 18M .
 
Sasa mkuu kuna kitu hujajua...shida ya kilimo hiki ni maji .. Mazingira ninayoyasemea mashamba yapo kwenye mradi wa umwagiliaji...maji yapo...kapuku hawez nunua kizembe
 
Shamba lenye hali nzuri saana la zabibu linauzwa Dodoma,.

Shamba lipo ndani ya mradi wa umwagiliaji hivyo maji ni uhakika.

Lina zabibu ambazo zikihudumiwa msimu mmoja unaofuata unavuna.

Ukubwa wa shamba ni 21 milion

Kwa mawasiliano zaidi 0682276767
 
Back
Top Bottom