SHAMBA LA WAFU - (Graveyard)

SHAMBA LA WAFU - (Graveyard)

Hazchem plate

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2011
Posts
11,053
Reaction score
15,520
Hivi hapa Tanzania kuna Shamba la wafu la kueleweka?????

graves.jpeg

Hizi nchi zinazoendelea zina shida sana. Sio elimu, Nishati, Huduma za afya, Chakula Hata Ustaarabu tu ni Changamoto.

Sidhani hapa Tanzania Kwenye Halmashauri za Majiji, Mikoa, Wilaya Miji, Miji midogo na hata Vijiji kama kuna Maeneo Mahsusi ya Kuzikia watu yenye Management na Ustaarabu

Gyard.jpeg

Ukienda kwa Ndugu zangu wa Kilimanjaro, Mbeya, Kagera Unakuta Makaburi kwenye Migomba yao, Yani kila sehemu na utaratibu wao

Watu wa Real estate and Land managament naona hawajaiona hii Fursa. Ni vyema wakatenga maeneo ya kuzikia wafu yakawekwa Facilities zote muhimu kama Uzio kwa ajili ya ulinzi na mambo mengine na kisha wakatoza Pesa Eg. 500,000/= kwa kila kaburi na kukawa na Ramani na michoro ya makaburi ya sehemu husika ili kuyaweka maeneo hayo katika mtazamo mzuri.

Hivi ulishawahi jiuliza Siku ukifa utazikwa Kichaka gani?? unaweza pata Stress ukafa kabisa.
graveyard.jpeg
 
Kufa ni kufa na kuzikwa ni kuzikwa ayo mambo ya kusema ooohh nizikwe kwa heshima umeshakufa iyo heshima ainamsaada ndio maana wenzetu awakaagi na maiti.
 
Utasikia ooh nikifa nikazikwe TUKUYU,,,,,,,,,

dadekii nauli umeacha au kusumbuana tuu
 
Kufa ni kufa na kuzikwa ni kuzikwa ayo mambo ya kusema ooohh nizikwe kwa heshima umeshakufa iyo heshima ainamsaada ndio maana wenzetu awakaagi na maiti.
Sio suala la kuzikwa kwa heshima, ni uzikwe wapi? Itafikia wakati, kila ardhi insyochimbwa kidogo kuna mabaki ya mawili wa binadamu. Kuna umuhimu wa kutenga eneo la mazishi.
 
Back
Top Bottom