Umeme, kisima, mabanda matatu na kila banda linabeba kuku 12,000; godown, kinu cha kutengeneza chakula cha kuku,mashine ya kunyonyoa kuku, cold room na mengineyo.
Siuzi mimi, anayeuza ni mhusika. Mimi ni agent. Labda kaamua kuuza ili apate hela kwa ajili ya investment nyingine au hakutaka kusimamia hilo biashara. Kuna watu nimekutana nao wanaohisi biashara nzuri haliwezi kuuzwa au kama linauzwa basi halitakuwa biashara nzuri. Hizo ni fikra za kijinga kwani kuna mahoteli makubwa yaliyoendelea yameuzwa. Hivi karibuni tu kuna kampuni ndogo ya insurance ya China inayoitwa Anbang insurance ikanunua mahoteli na resorts za Waldorf Astoria iliyomilikiwa na kampuni maarufu inayoshughulika na mahoteli inayoitwa Hilton huko New York, Marekani kwa gharama ya USD 1.95 Billion. Kama ingekuwa hamna biashara wangenunua wachina?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.