Hao wanatafuta namba za kuongeza kwenye orodha yao ya "tuma kwenye namba hii". Never disclose your number kizembe.Bila picha na bei huu, ni uhuni na utapeli..
Labda Ruvu kwenye majaruba ya mpungaMatapeli muogopeni mungu.kibaha gani utapata heka 100 ambazo zipo barabarani?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app