Wadau nisaidieni, nahitaji shamba kwa ajili ya kilimo, Niliwahi kusikia kuna mashamba Morogoro Bwawani, Mimi nipo Dar, kwa yeyote anayepafahamu hapo anielekeze namna ya kufika, By the way mimi nafahamu mpaka Morogoro Stand tu. Natanguliza Shukrani!
Wadau nisaidieni, nahitaji shamba kwa ajili ya kilimo, Niliwahi kusikia kuna mashamba Morogoro Bwawani, Mimi nipo Dar, kwa yeyote anayepafahamu hapo anielekeze namna ya kufika, By the way mimi nafahamu mpaka Morogoro Stand tu. Natanguliza Shukrani!
Bwawani ni kabla hujafika moro mjini, na pia utamwambia konda akushushe hapo au kama una usafiri wako ukifika maeneo hayo utaona vibao vyenye maneno ya bwawani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.