Plot4Sale Shamba heka 100 linauzwa Tanga bei poa Tsh 120M

Half american

JF-Expert Member
Sep 21, 2018
24,201
63,992
Shamba linauzwa

Liko- Tanga Tanzania.

Mahali- Handeni

Eneo- Kabuku

Umbali km 6 toka barabara kuu ya lami.

Ukubwa wake ni heka 100

Nyaraka za umiliki lina hati ya kijiji.

Ndani yake lina;

Mifugo;-mbuzi 120, kuku 40

Mabanda pamoja na pikipiki za uendeshaji shambani.

Pamoja na mazao mbalimbali kama mahindi, mboga mboga nk.

Bei Tshs. mil 120


2823376_IMG_6108.jpg


2823375_IMG_6083.jpg


2823372_IMG_6091.jpg


2823371_IMG_6095.jpg
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom