Trust me, CCM ikidondoka haitakuja kusimama tena!Kwa maoni yangu ni kuwa CCM haiwezi kujiongeza upendo kwa wananchi hata kifanye mazuri mengi kiasi gani. Hata kilipe jobless mishahara lakini bado upendo kwao utaendelea kupungua.
Na sababu kubwa ni kwamba watu wameichoka tu, wengine hata hawana sababu za msingi zaidi ya kukichoka tu.
Njia pekee ya kurudisha upendo ni kustep down. kikae pembeni, kwani hii njia itawapunguza wengi wale wa ccm chumia tumbo, na kubakia na ccm-imani, ccm itikadi.
Chama kitakachotawala kwa umasikini wetu huu kitafanya fyongo tu, na hivyo kitalalamikiwa pia kama ccm. - Huu utakuwa wakati muafaka kwa ccm kujisafisha na kutengeneza upendo kwa wananchi. - Baada ya hapo uchaguzi utakaofuata (ulio fair) ccm inaingia madarakani bila makando yoyote.
Angalizo: jaribio hili lifanywe tu baada ya kuwa kimeweka misingi imara ya utawala bora nchini.
Nani wakuidondosha CCM?Trust me, CCM ikidondoka haitakuja kusimama tena!
Unayo hoja mkuu,Huyu Shaka Mimi naona apewe tuzo tu
Usipomsikiliza utamwelewaje?Wanadamu tuko tofauti Mimi huyu sijawahi kumusikiliza na sihitaji.
Kwani wewe ni nani??Wanadamu tuko tofauti Mimi huyu sijawahi kumusikiliza na sihitaji.
Hata wewe ni Pimbi?Ni msumari mchungu kwa makalio yako labda.
Ili jukwaa limejaa pimbi sana siku hizi.
Nope. Mada za kijinga zimezidi.Hata wewe ni Pimbi?
Jabali kutoka Mbinguni.Kwani wewe ni nani??
Siulete mada za kijaja sasa?Nope. Mada za kijinga zimezidi.
Nothing personal.
Nchi imepiga Mark Time kwenye nini?Huu mi upuuzi kama upuuzi mwingine kusifia ujinga kwani kuwa na upinzani ni Vita?. Mwamba ni yule anayetatua matatizo ya watanzania kwa weledi na ubunifu sio haya mapambio mnaimba kila kukicha huku nchi inapiga maktime.
Shaka ni jembe nakubali
Huyu Shaka Mimi naona apewe tuzo tu
Huyu Shaka Mimi naona apewe tuzo tu
#CCM KAZIIENDELEEMsingi wake ukiwa ni aina ya Siasa anazozifanya kijana huyu Mzalendo wa kweli wa Taifa hili zimekizolea umaarufu na heshima kubwa ndani na nje ya nje Chama cha Mapinduzi kwa kipindi hiki kifupi tangu kuteuliwa kwake,
Siasa zake za msimamo wa wastani na kuegemea zaidi kwenye kusikiliza na kutatua matatizo na shida za watu bila kujali itikadi wala hali yoyote zimemfanya Shaka Hamdu Shaka awavute watu wengi hasa vijana kujuinga na Chama Cha Mapinduzi,
Shaka pamoja na fitina na figisu nyingi alizofanyiwa huko nyuma kamwe hazijawahi kumfanya alege kwenye kukitetea na kukipigania Chama Cha Mapinduzi zaidi sana kijana huyu alisamehe na kusahau leo Shaka amegeuka kuwa darasa la Uongozi na viongozi kwa vijana wengi wa CCM na hata kwawale wasiokuwa na vyama au wavyama vingine,
Wakasema Shaka Hamdu Shaka anakula rushwa wakamsimamisha uongozi kijana huyu mwenye hulka ya Upole na Unyenyekevu hakujali wala kukata tamaa zaidi sana akaendelea kuchapa kazi kwa weledi na bidii zaidi kuliko mwanzo,
Vijana wa Tanzania tunachakujifunza toka kwa kijana huyu Mzalendo wakutiliwa mfano, Pamoja na Vita kubwa kubwa na nzito alizopigwa leo hii Shaka amegeuka lulu ndani ya Chama Cha Mapinduzi,Leo ndio mtu anayerudisha imani kwa Watanzania kuendelea kuiamini CCM-Tanzania
#Vijana Uvumilivu Unalipa sana,
View attachment 2019626
View attachment 2019627
View attachment 2019629
View attachment 2019631
View attachment 2019632
View attachment 2019636
View attachment 2019686
View attachment 2019687
View attachment 2019688
View attachment 2019689View attachment 2019706
CCM haina vijana wenye uwezo wa kujenga hoja, na hili ndilo tatizo walilonalo ingawa wao hawajui.