funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 39,118
- 31,627
nimemfuatilia mwanasiasa huyu kijana nikaona anafaa sana kwenye nafasi yake mpya.
Alipambania chama kipindi akiwa UVCCM.
Alitulia kipindi alipopewa nafasi mpya.
anajua kujieleza na anajua kurespond kwa wakati na kwa weledi.
anafaa kuwa mwenezi wa Chama.
Hongera Shaka Hamdu Shaka!!
Alipambania chama kipindi akiwa UVCCM.
Alitulia kipindi alipopewa nafasi mpya.
anajua kujieleza na anajua kurespond kwa wakati na kwa weledi.
anafaa kuwa mwenezi wa Chama.
Hongera Shaka Hamdu Shaka!!