Shafi Dauda ni mkweli

Shafi Dauda ni mkweli

siku hizi ITC ndo ushahidi wa mchezaji yuko wap na anamilikiwa na timu gani,na unaweza ona hilo online and on real time!Kiingereza kinasumbua watu wengi sana! Mkitaka kujua okwi ni ruhusa au si ruhusa kucheza yanga,someni kwa makini para.3,4&5. Kama hamuelewi muiteni mwanasheria awatafsirie kwani kuna lugha za kisheria ndani yake.
 
Very good. You are the greatest minded. Mckurupuke 2 na hcia zenu
Thead gani hii? anyway UKWELI NI UPI KATIKA ALICHOSEMA? sikiliza kijana; kwa maelezo yake alotoa kwenye web yake hakuna lolote la maana aloongea maana ni gossips tu. UKWELI UTAPATIKANA ENDAPO: 1. AMEMUHOJI OKWI KWA NINI HAYUKO SAHEL NA KUONA VIELELEZO VYAKE. 2. AMEHOJI SAHEL KWA NINI HAWAKO NA OKWI NA WAONYESHE VIELELEZO VYAO. 3. AMEHOJI VILLA WALIMPATAJE OKWI NA VIELELEZO. 4. AMEHOJI YANGA WALIMPATAJE NA VIELELEZO. 5. AMEHOJI TFF WANA VIELELEZO GANI. 6. AHOJI FIFA NA KUONA VIELELEZO WALIVYONAVYO NA KWA NINI WAMETOA ITC. 7. AMEHOJI SIMBA NA KUONA MIKATABA YA MAUZIANO YA OKWI NA 8. AMEHOJI WAKALA WA OKWI KATIKA MZUNGUKO WOTE TOKA SIMBA HADI YANGA. Angefanya hivi halafu akaja na conclusion. Habari yake iko hewani haitoi suluhu,anajaribu kutuletea utumbo wanaotangaza pale kwenye redio yao. bahati mbaya wakikutana na watu wa aina yako unakurupuka eti anaongea ukweli sasa tuonyeshe ukweli ni upi katika alichokisema?.....
 
unajua okwi kashamalizana na tff pale alipoenda etoile,,hivyo basi itc yake inapaswa kutoka uganda na fufa sio wapumbavu kama wameshamruhusu kucheza kelele zinatoka wapi,,,,sitaki kujiaminisha shafii anatumia events kupata umaarufu na sio weledi wake
 
Kusema kweli yote ni sawa kwangu na nahisi bila Simba na Yanga itakuwa boring sana, kila mmoja hawezi kusikia raha akikosekana mmoja wapo.

Ni kama watoto nyumbani yule ambae hana mafanikio ndio anaegemewa sana na kuoneshwa mapenzi zaidi na wazazi, unajuwa kwanini>? asijihisi kuwa yeye si lolote si chochote wakati ana role kubwa ya kuwepo kwake.



Yeah! Kama CCM na CHADEMA vile.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom