Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 2,880
- 4,883
Mchambuzi mmoja tu namkubali toka kitambo. Eddo kumwembe
exactly
Mchambuzi mmoja tu namkubali toka kitambo. Eddo kumwembe
Shaffi yuko sahihi kama mlienda mpirani hebu tuambieni ni mpira gani ambao ulikua ni dhahiri utakua goli manyika akaokoa hakuna hata shuti moja lilopigwa na fowadi yoyote wa yanga acheni hizo