1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 439
- 1,756
Leo nimemsikia Shaffih Dauda akiongelea mchezo wa Simba na Power Dynamo,.anahofu kuwa kuna mgogoro ndani ya klabu ya Simba, kwamba hawako pamoja, bado wale walioshindwa uchaguzi wana kinyongo.
Kama ni kweli basi msitarajie Robertinho kuonyesha ufundi, wachezaji wataonekana wazito, hawana uwezo kumbe wamefungwa miguu na wasioitakia mema klabu yetu. Msiturudishe enzi za akina marehemu Juma Salum.
Kama ni kweli basi msitarajie Robertinho kuonyesha ufundi, wachezaji wataonekana wazito, hawana uwezo kumbe wamefungwa miguu na wasioitakia mema klabu yetu. Msiturudishe enzi za akina marehemu Juma Salum.