Watanzania kwa kupinga tu tuko vizuri,wanamichezo wa Tanzania wanapenda kuangalia mechi wakiwa wengi ili wabishane.labda kwenye jiji lako chunguza awa vibanda umiza uwaulize kuhusu mechi ya leo ujue utupe mrejesho
Kosa la Shafii ni kama la Watanzania wengi tu hata waandishi wa habari kuwa mara nyingine wanatoa / wanaeleza takwimu zisizotokana na utafiti hivyo pia ni MAKANJANJA.
Yaani Wanabuni vitu kutokana na mihemko, hisia au mitazamo yao.
Hapo Shafii amesema hayo mbele ya watu waliozoea na kuzoeshwa kutoa taarifa zenye tafiti.
Mimi ninachojua Watanzania wengi tutamtizama Samatta akicheza uwanjani ila siwezi kusema ni wangapi ila ni Wengi.
Richard,
Watanzania tuko Mil 55 approximately. Tukisema Watanzania Mil 4 wamefuatilia hii mechi tunamaanisha kua kila walipo Watanzania 13 au 14 basi mmoja wao amefuatilia hii mechi kwa Wastani.
Na hao Watanzania 13 au 14 ni mpaka Watoto, Wamama, Wazee,Vipofu, Walioko Vijijini kusiko na Umeme, Wenye hawako na hobby ya mpira, etc.
Kwa muda ule wa Saa tano usiku niseme tu 4mil ni wengi, hatukufikia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.