Shadrack Chaula alitekwa na wauaji na kupotezwa hadi leo hatujui alipo

Shadrack Chaula alitekwa na wauaji na kupotezwa hadi leo hatujui alipo

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,662
Reaction score
59,100
Walimteka Shebby kisa kachoma picha ya Rais. Kwanza picha yenyewe aliichora yeye. Pia alichora baada ya rais kusema atatekeleza mambo Four R. Lakini baadaye akagundua Samia hatekelezi 4R kama alivyo ahidi.

Shedrack akaamua kuchoma hadharani picha ya samia aliyoichora.

CCM wakamshitaki akafungwa. Kibatala akamtetea na Chadema wakapitisha mchango akatoka Gerezani. Alivyotoka Gerezani watu wakamteke. Hadi leo hajapatikana tena.

Hapa ni Mbeya Shadrack Chaula alitekwa na wauaji na kupotezwa hadi leo hatujui alipo.

Shadrack Baada ya kutoka Gerezani alifurahia Uhuru wake ila watu wenye roha za kishetani wakampoteza, unawezaje kumpoteza MTU kama Shadrack?

Tunaposema Samia ana roho zaidi ta Mchawi, tunaomba mteelewe. Hata vita ya Kagera watu hawakufa wengi kama kuteetea Uongozi wa Samia mwaka 2025
 
Walimteka Shebby kisa kachoma picha ya Rais. Kwanza picha yenyewe aliichora yeye. Pia alichora baada ya rais kusema atatekeleza mambo Four R. Lakini baadaye akagundua Samia hatekelezi 4R kama alivyo ahidi.

Shedrack akaamua kuchoma hadharani picha ya samia aliyoichora.

CCM wakamshitaki akafungwa. Kibatala akamtetea na Chadema wakapitisha mchango akatoka Gerezani. Alivyotoka Gerezani watu wakamteke. Hadi leo hajapatikana tena.

Hapa ni Mbeya Shadrack Chaula alitekwa na wauaji na kupotezwa hadi leo hatujui alipo.

Shadrack Baada ya kutoka Gerezani alifurahia Uhuru wake ila watu wenye roha za kishetani wakampoteza, unawezaje kumpoteza MTU kama Shadrack?

Tunaposema Samia ana roho zaidi ta Mchawi, tunaomba mteelewe. Hata vita ya Kagera watu hawakufa wengi kama kuteetea Uongozi wa Samia mwaka 2025
View attachment 3560595
Tunaposema Samia ana roho zaidi ta Mchawi, tunaomba mteelewe. Hata vita ya Kagera watu hawakufa wengi kama kuteetea Uongozi wa Samia mwaka 2025📌🔨
 
Walimteka Shebby kisa kachoma picha ya Rais. Kwanza picha yenyewe aliichora yeye. Pia alichora baada ya rais kusema atatekeleza mambo Four R. Lakini baadaye akagundua Samia hatekelezi 4R kama alivyo ahidi.

Shedrack akaamua kuchoma hadharani picha ya samia aliyoichora.

CCM wakamshitaki akafungwa. Kibatala akamtetea na Chadema wakapitisha mchango akatoka Gerezani. Alivyotoka Gerezani watu wakamteke. Hadi leo hajapatikana tena.

Hapa ni Mbeya Shadrack Chaula alitekwa na wauaji na kupotezwa hadi leo hatujui alipo.

Shadrack Baada ya kutoka Gerezani alifurahia Uhuru wake ila watu wenye roha za kishetani wakampoteza, unawezaje kumpoteza MTU kama Shadrack?

Tunaposema Samia ana roho zaidi ta Mchawi, tunaomba mteelewe. Hata vita ya Kagera watu hawakufa wengi kama kuteetea Uongozi wa Samia mwaka 2025
View attachment 3560595
Naona hata huruma kuisikiliza! Samia jkesho kweli unaenda msikitini na kula Idd!
 
Walimteka Shebby kisa kachoma picha ya Rais. Kwanza picha yenyewe aliichora yeye. Pia alichora baada ya rais kusema atatekeleza mambo Four R. Lakini baadaye akagundua Samia hatekelezi 4R kama alivyo ahidi.

Shedrack akaamua kuchoma hadharani picha ya samia aliyoichora.

CCM wakamshitaki akafungwa. Kibatala akamtetea na Chadema wakapitisha mchango akatoka Gerezani. Alivyotoka Gerezani watu wakamteke. Hadi leo hajapatikana tena.

Hapa ni Mbeya Shadrack Chaula alitekwa na wauaji na kupotezwa hadi leo hatujui alipo.

Shadrack Baada ya kutoka Gerezani alifurahia Uhuru wake ila watu wenye roha za kishetani wakampoteza, unawezaje kumpoteza MTU kama Shadrack?

Tunaposema Samia ana roho zaidi ta Mchawi, tunaomba mteelewe. Hata vita ya Kagera watu hawakufa wengi kama kuteetea Uongozi wa Samia mwaka 2025
View attachment 3560595
20260201_154413.jpg
 
Hapo veggies waliishiwa, sasa mtu kama Chaula alikuwa na impact gani kwa taifa?

Kuongozwa na akili za kuunga na glue tabu tupu..!!
Kwa namna na mwendo ule wa kuteka na kuuwa kila siku wasingeweza kumuacha waonekane wameshindwa .

Kumtoa ndani kuliwasafishia njia polisi wadeal naye vizuri kwa kivuli cha kutohusika moja kwa moja.
 
Walimteka Shebby kisa kachoma picha ya Rais. Kwanza picha yenyewe aliichora yeye. Pia alichora baada ya rais kusema atatekeleza mambo Four R. Lakini baadaye akagundua Samia hatekelezi 4R kama alivyo ahidi.

Shedrack akaamua kuchoma hadharani picha ya samia aliyoichora.

CCM wakamshitaki akafungwa. Kibatala akamtetea na Chadema wakapitisha mchango akatoka Gerezani. Alivyotoka Gerezani watu wakamteke. Hadi leo hajapatikana tena.

Hapa ni Mbeya Shadrack Chaula alitekwa na wauaji na kupotezwa hadi leo hatujui alipo.

Shadrack Baada ya kutoka Gerezani alifurahia Uhuru wake ila watu wenye roha za kishetani wakampoteza, unawezaje kumpoteza MTU kama Shadrack?

Tunaposema Samia ana roho zaidi ta Mchawi, tunaomba mteelewe. Hata vita ya Kagera watu hawakufa wengi kama kuteetea Uongozi wa Samia mwaka 2025
View attachment 3560595
Kwa mtekwaji na gen z waliobakia,wahenga Wana msemo 'mdomo uliponza kichwa'
 
Na watu wamekaa kimya kama hakuna kilichotokea yaani kamati nzima ya siasa,amani ya mkoa wa mbeya wote walimuona kama mhaini anapaswa kunyongwa?
 
Back
Top Bottom