Kingo
JF-Expert Member
- May 12, 2009
- 855
- 390
Baadhi ya shabiki wa Young Africans kutoka Dar baada ya mechi wakiwa njiani kurudi makwao walizua tafrani njia panda Bigwa, barabara ya zamani ya Dar na kusababisha usumbufu na uharibifu kwa raia na mali zao.
Kadhia hiyo ilitokea baada ya shabiki hao kushuka kwenye magari yao na kuanza vurugu ikiwemo kurusha mawe na kutawanya/kuvunjavunja mali za raia wafanyao biashara eneo hilo kwa madai ya "kuzomewa".
Kikosi cha polisi cha kutuliza ghasia kilifika lakini hali ilishakuwa shwari baada ya shabiki hao kuona wanaanza kukabikiwa na wenyeji na kuamua kupanda magari yao (coaster na hiace) na kuendelea na safari yao ya Dar.
Kadhia hiyo ilitokea baada ya shabiki hao kushuka kwenye magari yao na kuanza vurugu ikiwemo kurusha mawe na kutawanya/kuvunjavunja mali za raia wafanyao biashara eneo hilo kwa madai ya "kuzomewa".
Kikosi cha polisi cha kutuliza ghasia kilifika lakini hali ilishakuwa shwari baada ya shabiki hao kuona wanaanza kukabikiwa na wenyeji na kuamua kupanda magari yao (coaster na hiace) na kuendelea na safari yao ya Dar.