Inakuaje kampuni ya usafiri kubwa na yenye jina kama Shabiby mnakera abiria kwa kuwafungulia muziki kwa sauti kubwa usiku wa manane?
Gari zenu mnazo nzuri tu ila uswahili ndio umetamalaki kupitaliza.
Badilikeni jamani.
Makelele ni dalili ya ushamba uliopitiliza.
Gari ni ya kiwango cha juu kwa kweli ila inakuwa kama baa ya pombe inayotrmbea.
SHAME.
Gari zenu mnazo nzuri tu ila uswahili ndio umetamalaki kupitaliza.
Badilikeni jamani.
Makelele ni dalili ya ushamba uliopitiliza.
Gari ni ya kiwango cha juu kwa kweli ila inakuwa kama baa ya pombe inayotrmbea.
SHAME.