Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 763
Wangespend hata 5000bil maana watanzania ni mbumbumbu wacha wale hadi tukome
halafu wanawapoza eti posho zisiongezwe,kwani hizi b 64 ni za bendera na mabango? We need audited account report on these.pia tujue source! Delloite mpo? Maana CAG ndo walewale
wewe sio ndio ulisema wanafunzi tusigome katika post ya mgomo wa udsm? Sasa kumbe unajua kabisa kuwa kuna wanafunzi wana shida na wanahitaji haki zao wakati serikali haijitumi unategemea tutaacha kugoma?wanafunzi wangapi wameshindwa kuripoti chuo kisa ada?. Shule ngapi za kata hazna madawati, vitabu, laboratory n.k! Vijiji vingapi havina maji! Waalimu wangapi wanadai makato yao!.. Vijiji vingapi havna magari ya kubebea wagonjwa! Matatizo ni mengi sana. Inakuaje watumie 64bln/day?. Hawawatendei haki watanzania.
Naona unaanza kubadilika sasa na kuyaona yale ambayo wengi wamekuwa wakiyasema/kuyaandika hapa jamvini. Inatia moyo sana kuyaona mabadiliko haya.Wanafunzi wangapi wameshindwa kuripoti chuo kisa ada?. Shule ngapi za kata hazna madawati, vitabu, laboratory n.k! Vijiji vingapi havina maji! Waalimu wangapi wanadai makato yao!.. Vijiji vingapi havna magari ya kubebea wagonjwa!
Matatizo ni mengi sana. Inakuaje watumie 64bln/day?. Hawawatendei haki watanzania.
madai ya walimu?
kuongeza mishahara ya watumishi wa umma?
madawa hospitalini?
kununua vifaa bora vya hospitali?
kuboresha mazingira ya walimu?
kujenga madarasa na kununua madawati?
kuwekeza kwenye umeme?
ujenzi wa barabara?
ujenzi wa hospitali na zahanati?
kuboresha maslahi ya walimu?
mikopo ya elimu ya juu?
Mi mara nyingi huwa nawashangaa mnaojiita Great thinker,kwani kuna tofauti gani mchaga kutumia milion kumi akisherekea xmas rombo na ndgu zake ambao hat secondary hawajagusa na nchi yenye watu zaidi ya 40mil?,nyie wenyewe kila mwaka mnafanya birthday zenu za zaidi ya 70 elfu na hili khari bado hamja timiza mahitaji yenu yote ya kifamilia iweje gvt isisherekee 50yrs kwa Bs?ok anaway this is a demothinking ground.
64 billion =(at least 10 hospitals + 5 Universitie) au japo dawati kwa kila mwanafunzi tanganyika nzima.
Eeeh Mungu tuondolee viongozi wenye upupu kwenye ubongo.
hivi kuna mtu anamzidi mwanakijiji umbeya kweli??? khaaaHapa mkuu nitake radhi tafadhali bwana......
"mmbeya yake mipango" we mcheki Mwanakijiji na Sugu kwa mfano!
Sifa siyo za Mhaya!!!!!?????? Nadhani wasukuma utajiri wa kweli wa ng'ombe siyo sifa tu
Hela ambayo ingetosha kabisa kuunganisha wilaya ya karatu na Mbulu kwa kiwango cha lami. Mbulu ambayo kwa miaka zaidi ya 100 ya uwepo wake kama wilaya haina barabara ya lami hata moja!
Tungeweza basi kununua magari ya wagonjwa kwenye wilaya karibu 100 nchini na kuondokana na mpango wa vibajaji!
Tungeweza kuwalipa waalimu malimbikizo ya madeni yao na kuepukana na mgomo walioitisha mwezi januari mwakani!
Tungeweza kulipia mfuko wa jimbo kwa wabunge zaidi ya mia 3 kwa miaka miwili!
Duh! Hadi ccm itakapoondolewa madarakani tutakuwa tumebaki mifupa mitupu!
ayaaaaa... Basi tena ndo mafweza yashatumika na wezi kama kawaida yao ndo washapitisha michongo yao umo ndani, hii equation ni irrevessible, tuwaombee mabaya na kuwalaani wote waloshiriki, aaaaaaminhalafu tukimaliza kula mifeza mingi hivi, rais anapanda ndege, bila hata aibu anabeba bakuli lake anaenda kwa wahisani kuomba hela za maendeleo!!!hii ni miaka 50 ya kujivunia kuwa omba omba bora wa tatu duniani na wa kwanza afrika!!
Hongera kwa kufikiria nje ya box!Mi mara nyingi huwa nawashangaa mnaojiita Great thinker,kwani kuna tofauti gani mchaga kutumia milion kumi akisherekea xmas rombo na ndgu zake ambao hat secondary hawajagusa na nchi yenye watu zaidi ya 40mil?,nyie wenyewe kila mwaka mnafanya birthday zenu za zaidi ya 70 elfu na hili khari bado hamja timiza mahitaji yenu yote ya kifamilia iweje gvt isisherekee 50yrs kwa Bs?ok anaway this is a demothinking ground.
Pesa ya Familia tofauti na ya Taifa. Umuhimu wa sherehe ni nini haswa?wivu wa kike huo bil 64 ndogo sana kulinganisha na umuhimu wa sherehe husika hivi hata baba mwenye binti au kijana anayeoa si atafanya kila awezalo kufanikisha sherehe hata awe masikini vipi nyie wa zamani kweli!!