Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,157
- 2,663
Pata picha:
Mtu anakuomba hela ya bia au soda, unampatia Tsh 2000/=
Alafu huyo huyo uliyempa hela anakwambia "Yaani unanipa elfu mbili?? dharau hiyo!"
Wewe unasemaje hapo?
hapo hajakwambia umpe hela ya kiasi gani!
Pata picha:
Mtu anakuomba hela ya bia au soda, unampatia Tsh 2000/=
Alafu huyo huyo uliyempa hela anakwambia "Yaani unanipa elfu mbili?? dharau hiyo!"
Wewe unasemaje hapo?
hapo hajakwambia umpe hela ya kiasi gani!
aaahhh Papaa utampaje mtu buku 2 jameni!!!
Huyo aliyekuomba hela ni wa jinsia ipi?
Kuna utata kweli, bora wewe ulimpa pesa vp kama utamkalisha Grocery ukamaliza hitaji lake si ndipo lugha zingezidi kuwa gongana.
Mnunulie bia kabisa.
Ukimpa lift m'bongo atataka apige na honi na kukushusha kioo
hii ni dharauPata picha:
Mtu anakuomba hela ya bia au soda, unampatia Tsh 2000/=
Alafu huyo huyo uliyempa hela anakwambia "Yaani unanipa elfu mbili?? dharau hiyo!"
Wewe unasemaje hapo?
hapo hajakwambia umpe hela ya kiasi gani!
hii ni dharau
Mnunulie bia kabisa.
je km hatumii bia,kawaida ukiombwa 2000/= inabidi ujiongeze utoe ht elfu 5 jamani.
Waombaji na nyie muwe wawazi.
Hahahaha! Swali lako tamu sana....jinsia ya kike
Sasa huyo hajaomba hata kiasi na wala hajaomba bia ngapi na hajaomba umpe sh ngapi...wewe kwa hisia zako zimekutuma umpe elf mbili, bado hajaridhika na hiyo elf mbili uliyompa na anakwambia dharau!!