joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
SGR kula nusu ya bajeti ya wizara
Kwa vipaumbele vilivyoainishwa na Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano mwaka 2019/2020, ndoto ya reli ya kisasa (SGR) inaenda kutimia miaka michache ijayo.
mobile.mwananchi.co.tz
Kwa wale jirani zetu ambao na baadhi ya watanzania ambao wakiongozwa na mpotoshaji Zitto Kabwe, wanaosema kwamba Tanzania inajenga SGR kwa mkopo, habari hii itakua sio nzuri sana kwao. Ninawaombeni msamaha kwa maumivu mtakayopata kwa siku nzima ya Leo.