the palace
JF-Expert Member
- Jan 11, 2018
- 365
- 1,080
Samehe tu, kwani nauli bei gani ? ? Fanya kama umetoa sadaka
Yeah, hakika ngoja tuone huko mbeleni mkuuNi kweli wao hawawezi 7bu mfumo kwao ni READ ONLY Yaani hawawezei na wala hawaruhusiwi kuediti chochote
So8nakiwa ngumu kwao
Ameen 🙏Samehe tu, kwani nauli bei gani ? ? Fanya kama umetoa sadaka
Pole sana mkuuMimi.pia yalinikuta nilitaka kutoa pesa kwa wakala laki moja nikakosea nikanunua muda wa maongezi laki moja
Unaruhusiwa kubadirisha Siku ya kusafiri wastani wa siku 1 mpaka 3 kabla...!Muda wa kuondoka Dar ulikuwa haujafika na ndio maana niliomba kuboresha kabla ya wakati ili wauze 💺