joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Ninafurahaaa kumpokea mgeni, SIFA kubwa ya watanzania ni ukarimu, hasa kwa wageni, hatuna mpinzania hapa Africa.Nini?
Ninafurahaaa kumpokea mgeni, SIFA kubwa ya watanzania ni ukarimu, hasa kwa wageni, hatuna mpinzania hapa Africa.Nini?
Hilo deni si kubwa sie si LDC tusamehewe madeni. Pesa si shida Kenya
Hatuwalipi. Baada ya kijana wao mjinga kutuita nyani, sasa wanataka tuwalipe? Hata nyani wakipewa ndizi hawalipishwi 😎😎😎Wewe wasema sio kubwa,lakini china wameona haitalipika.
Inatakiwa uwaeleze wewe si LDC labda hawajui.
Hatuwalipi. Baada ya kijana wao mjinga kutuita nyani, sasa wanataka tuwalipe? Hata nyani wakipewa ndizi hawalipishwi
Hadi mwishon Mwa Dec tunaweza kua na 50%hv au sioMore beautiful than urs almost 33% already done one year down the line!
Magu aliwapa order 2020 Dar-Dom kuwe tayari. Naona wanapambana kufanikisha hiliWamedai ujenzi wanamaliza April 2019 kabla Julai kama mkataba unavyo sema
Wamedai ujenzi wanamaliza April 2019 kabla Julai kama mkataba unavyo sema
Nadhani Kazi ngumu na ya Muda mrefu ilikuwa ni kujenga Tuta. Japo muda huo hata mimi unanitisha ila kwakuwa wamesema wao wenyewe Wajenzi tusubiri kuona.Mulisaaa acha masihara mkuu kwa hizo asilimia walizonazo haiwezekani kua wamemaliza April mwakani miezi 6 tu imebakia ujue
Nadhani Kazi ngumu na ya Muda mrefu ilikuwa ni kujenga Tuta. Japo muda huo hata mimi unanitisha ila kwakuwa wamesema wao wenyewe Wajenzi tusubiri kuona.
Una ardue na wataalamu??. They have there plan and experience. They know what they are doing.Mulisaaa acha masihara mkuu kwa hizo asilimia walizonazo haiwezekani kua wamemaliza April mwakani miezi 6 tu imebakia ujue
Kwenye picha zao nimeona rails laying machines! I guess r about to be deployed n speed itaongezeka!Una ardue na wataalamu??. They have there plan and experience. They know what they are doing.
Kumbuka kile kipande cha kwanza kilikuwa ni kwa ajili ya kutengeneza nafasi ya kudeploy rail laying machines in each direction.Kwenye picha zao nimeona rails laying machines! I guess r about to be deployed n speed itaongezeka!
Hadi mwishon Mwa Dec tunaweza kua na 50%hv au sio