JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,202
- 5,014
Wakati pccb wamemshafisha chenge kwenye kadhia ya radar kuwa suala hilo limekwisha na chenge hahusiki, sfo wenyewe wamekanusha kuisha kwa suala hilo na kueleza litatinga mahakama kuu ya uingereza mwishoni mwa mwezi huu na huko ndiko suala litaamuliwa kama limekwisha au laa.
Taarifa kutoka ubalozi wa uingereza kwa vyombo vya habari, umeweka wazi kila kitu kuwa kadhia hiyo bado haijakwisha.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, kitu ambacho kimekubaliwa kuwa kimekwisha, ni uchunguzi dhidi ya kadhia hiyo ndio umemalizika baada ya bae kukubali wamegawa rushwa, ila badala ya kuwataja waliowagawia, wamekubali kulipa faini ambayo serikali ya tanzania, itarudishiwa lile fungu lililokamuliwa ili wakubwa wale.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo ya ubalozini, mahakama ya uingereza, inaweza kuamua kuwa hawakubali faini hiyo kulipwa, bali wakalazimisha lazima majina ya walarushwa yatajwe badala na kuzibwa midomo kwa faini na fidia, na kama itakuwa ndio hivyo, tuhuma za chenge kwenye kadhia hiyo zinabaki kuwa bado ziko pale pale?.
Kama taarifa hii ya ubalozi wa uingereza ni ya kweli, crdedibility ya pccb yetu kwenye kuwasafisha mafisadi iko wapi?.
Source ya habari please!
Sasa hawa Mafisadi wa TAKUKUNGURU wamepata wapi kuwa SFO wameona kuwa madai dhidi ya Chenge hayana uthibitisho?....The British Government is aware of a statement made by the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) on 8 November 2010. At this stage the case relating to BAe and its dealings in Tanzania is yet to go to court in the UK. It is therefore not possible to draw conclusions either way relating to those who were interviewed in connection with the case.
''''Taarifa kutoka ubalozi wa Uingereza kwa vyombo vya habari, umeweka wazi kila kitu kuwa kadhia hiyo bado haijakwisha.''''
The British Government is aware of a statement made by the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) on 8 November 2010. At this stage the case relating to BAe and its dealings in Tanzania is yet to go to court in the UK. It is therefore not possible to draw conclusions either way relating to those who were interviewed in connection with the case.
On 5 February 2010, the Serious Fraud Office (SFO) announced that it had reached a settlement with BAe following an investigation into a defence contract with the Government of Tanzania.
Regarding Tanzania, BAe has admitted that it failed to keep reasonably accurate accounting records in relation to its activities here. BAe has said it will plead guilty to the aforementioned offence, and that it will pay a sum of £30 million by way of a penalty and also for reparation to Tanzania. A hearing in the crown court will determine the amount of the financial order (fine) with the balance to be made available as an ex-gratia payment to the people of Tanzania.