miss_blossom
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,607
- 2,146
Si wavumilie tu kwan lazima!
Hahahaha walokole kwenye ubora wao.Hamna lolote, yaani nyie walokole mnavimaisha vya upweke upweke na unafiki mwingi.
Mnaona fashion kusingizia kila starehe ni dhambi
Si n mkeo/mume au mpnz ssa inakuaje dhambi lkn?Tatzo kwann kufanya mapnz kwa njia ya cm??? Yaaan iyo ni sawa na kumtamani mtu kimapnz ambapo ni dhambi kwasbb unakua tayr umekwisha zini nae moyoni.
..Mnafanya dini Ionekane mzigo sana,kuliko kuFOCUS kupoint kilicho na kisicho dhambi toeni njia mbadala za kuepuka hii Hali,sio kuConclude kuwa tuacheBwana Yesu asifiwe!!!
Siku izi kumekuwepo na mapnz yanayofanyika kwa kupigiana simu au kutumiana Meseji.
Hilo jambo si sawa kabsa, lakn ndo limeshika chatisana kwa vijana na mabinti walio wengi.
Na imeonekana kama ni njia kuridhishana kwa wapenzi walio mbali.
STOP IT DON'T DO IT
Lakini pia si nzuri kuifanya hata kwa mkeo/mumeo eti kwasababu tuu amesafiri.
That is the Demonic network.