sex before marrige


anatetea zinaa
 

Sjakuelewa nieleweshe mtoto atakurithi vip?????? Afu mwanaume kukuacha si shida!!! Kama hukuwa na performance lazima akuache ..na hata ukiolewa mumeo akiona performance hamna mpango wa kando utakukumba ...cha muhimu ni kumpata mke mwema
 
Sjakuelewa nieleweshe mtoto atakurithi vip?????? Afu mwanaume kukuacha si shida!!! Kama hukuwa na performance lazima akuache ..na hata ukiolewa mumeo akiona performance hamna mpango wa kando utakukumba ...cha muhimu ni kumpata mke mwema

asilimia 76 ya akili ya mtoto anarithi kwa mama yake kama mama anatabia za ajabu ajabu ujue na watoto wake watakua hivyo hivyo
 
yan kujaribu lazima kama hailiki liwe zigo langu na ndoa za kikristu zilivyo mbaya mke mmoja na mme mmoja kwa aisha ya wawili sasa mpaka afe mmoja lini na kama bovu nivumilie tu yan bora kujaribu mapema
 
yan kujaribu lazima kama hailiki liwe zigo langu na ndoa za kikristu zilivyo mbaya mke mmoja na mme mmoja kwa aisha ya wawili sasa mpaka afe mmoja lini na kama bovu nivumilie tu yan bora kujaribu mapema

hizi fikra potofu. Unajuaje kama ni mbovu?
 

hii point ya "watarithi tabia" ume google wapi?
Mbona haina mantiki.
 

Upo sawa habari za kusema mi sikujua sizitaki kabisa,lazima ujue kila kitu bwana
 
Bila sex, hunipati. hata kwa bure. Sex ina maana yake katika mahusiano sio kuangaliana tu.
 
1-Nilipobold ndo penye ukweli tuu.
2-Bila factory tests nani atakubali kuoa/kuolewa?Je ukikuta hiyo kitu haipo au kwenu kina dada mnausemi ah kitu chenyewe kama kipele yaani kidogoo hata hakinifikishi.Mimi nisingekubali kumuoa mama yao bila kupumua juu yake, tena mara kibao hebu mpigie umuulize kama ni nasema rongo.
3-Hao watoto watajuaje kwamba wazazi wao walikulana kabla ya ndoa?Na hao watoto kwanini wachague kufuata huo mfano mbaya badala ya kufuata yaliyo mema?
4-Kwa vile siyo rahisi mtu yeyote mkamilifu kudumu muda mrefu bila sexual intercourse unamaanisha bi-dada asikulane na anayemtegemea ktk ndoa bali kwingine aliwe tu?
 
Mazoezi hakufanya,uwanjani namba akapata ndo maana katufungisha. Rfrence(SNURA.).
 

Wadanganye wenzako halafu siku ya ndoa ikifika wakutane na "usikohoenisijetoka"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…