sex before marrige

sex before marrige

cute one

Member
Joined
Oct 29, 2013
Posts
22
Reaction score
9
wadada napenda kuwashauri kutofanya mapenzi kabla ya ndoa kwa sababu zifuatazo kwanza ni dhambi mbele za mungu pili mwanaume anakudharau hata kukuacha itakuwa si shida kwake tatu watoto wako watarithi tabia yako nilichokisahau naomba uongezee for women advantages
 
wadada napenda kuwashauri kutofanya mapenzi kabla ya ndoa kwa sababu zifuatazo kwanza ni dhambi mbele za mungu pili mwanaume anakudharau hata kukuacha itakuwa si shida kwake tatu watoto wako watarithi tabia yako nilichokisahau naomba uongezee for women advantages

mmbaaanu!!!........we we we we......usijaribu kukutwa.......make sure you shake well before use........btw.....unamfahamu Dr Manyuki.......?
 
Mh!... Wadada... mh!
Sidhani, kabla ya kujaza "noah "!
 
Mleta uzi,wewe hujawahi na unasubiri ndoa? Au hukuwahi mpaka umeingia kwenye ndoa? Kama kweli hongera,kama si kweli.endapo wewe umeshindwa na wenzio hawataweza.halafu nahisa wewe hujakulia uswazi kwetu ambapo watoto daras la tano wameshaanza kubanduliwa,tena na mijibaba haswaaaa.
 
Bola mubane kina dada vitumbuwa vyenu mkivitowa ovyo maskani masela wanauwa ah pale amna kitu bwawa kama la mto ruvu
 
Hv ukienda kununua gar au baisker unachukua na kurudi nayo au lazma uijaribu?.......... Hvyoohvyo ni lazima tujaribiane kama 2ko fresh unaweza kuoa/kuolewa kumbe wenzako vifaaa alisha shusha window
 
wadada napenda kuwashauri
kutofanya mapenzi kabla ya ndoa kwa sababu zifuatazo kwanza ni dhambi
mbele za mungu pili mwanaume anakudharau hata kukuacha itakuwa si shida
kwake tatu watoto wako watarithi tabia yako nilichokisahau naomba
uongezee for women advantages

kwahiyo tununue 'ze goat in ze sack?'
 
Acha upuuz wako ww kama umekosa vya kuandika kakojoe ulale, kwhy n dhambi kwa kina dada tu co watu wote??? Na hao watoto wanaozaliwa wanaridhi mabaya ya mama zao tu alafu mabaya ya baba zao anaridhi nani?? Kuzini n dhambi kwa binadamu wote co wanawake acha ubaguz na upuuz wako peleka facebook
 
kisa cha kukuta bamia na nyanya chungu???????????? me lazima nitest nione yalimo yamo................
uwiiiiiii ndo nyie mkiingia kwenye ndoa eti bwana hakufikishi,,,,,,,, sisikii utamu!!!!!!!!!
ndo maana sapu zipo eeeeenh!!!!! ukifeli mtihani shurti urudie.
Babe wangu uko wapi tuka tukafanye yetu sie tutangaze ndoa!!!!!!!!!!!!!!!

usizini:
unatest mwaka mzima? watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
 
Hv ukienda kununua gar au baisker unachukua na kurudi nayo au lazma uijaribu?.......... Hvyoohvyo ni lazima tujaribiane kama 2ko fresh unaweza kuoa/kuolewa kumbe wenzako vifaaa alisha shusha window

for how long does the test take place? how many people are going to be tested? hata nyoka alimdanganya Hawa kwa kumwonyesha uzuri wa kutenda dhambi ya 'kula tunda la mti wa uzima' kwenye bustani ya Edeni. yeye na Adamu walipokula hilo tunda wakajitambua wa uchi. wakalaaniwa.....
MUNGU ANASEMA NAWE: USIZINI
 
Bora mtunyime tu na sisi tuache kuwahudumia...... maana Bajeti hazipangiki.... wewe cute one utakuwa unatokea kikosi cha mizinga....
 
Last edited by a moderator:
Ndoa ni process ndefu sio maigizo wala maonyesho!!!!!!!!!!!!!!!! Inatakiwa mpate mda wa kufahamiana vizuri na mwenza wako.......... mojawapo ni huo uzinzi unaouita wewe!!!!!!!!!!!!

MUNGU anaagiza hivyo. angalia tu cha kutestia chako kisijetest visivyotestika wakati wa kutest. may the LORD GOD be with you!!! itikia basi......teh teh teh
 
Napita,
Ila huwezi kucheza mpira bila kufanya mazoezi! we calls work done isequal to zero
 
Napita,
Ila huwezi kucheza mpira bila kufanya mazoezi! we calls work done isequal to zero when yo do nothing.
 
Back
Top Bottom