Sex According to Your Astrology Sign

Sex According to Your Astrology Sign


usisahau kuwaambia wapitie kitabu kiitwacho "sexual astrology: a sign-by-sign guide to your sensual stars" kimeandikwa na "martine". yaani ni nourmer! kinaeleza kiundani haya aliyaleta mleta uzi...
 
Kaka Kaizer mbona kutuchunguza sana??!

Halafu, kwanini ume-like jibu lake!??

Cc: besidei boy Asprin, hii inaruhusiwa kweli!??
Hahahahahah thats my boy.....

Umekuwa wa kwanza kuniwish haya makitu hapa JF. Niambie unamtaka nani miongoni mwa makoloni yangu nikuachie kwa weekend hii ujimwayemwaye na vitu vya kaka....😛oa😛oa😛oa
 
Hahahahahah thats my boy.....

Umekuwa wa kwanza kuniwish haya makitu hapa JF. Niambie unamtaka nani miongoni mwa makoloni yangu nikuachie kwa weekend hii ujimwayemwaye na vitu vya kaka....😛oa😛oa😛oa

Namtaka mwallu babu!

:juggle:
 
Last edited by a moderator:
10 million people share the same birthday as you..so your personalized horoscope means...sh*t nigga...Over...!!
 
mwallu mpwa wangu hayuko available for now....in fact keshi.kuna mahari tunapokea from a potential sweetor....Msukuma tena

Shem Kaizer. Mimi ni mwanaume...wa kiume!

Huwa sitishiwi nyau. Najiamini na ninafahamu position yangu. Hivyo basi hata waje three suitors, there will only be one husband. Hata aje suitor kutoka Kahama au Gamboshi...

Cc: mwallu
 
Last edited by a moderator:
Shem Kaizer. Mimi ni mwanaume...wa kiume!

Huwa sitishiwi nyau. Najiamini na ninafahamu position yangu. Hivyo basi hata waje three suitors, there will only be one husband. Hata aje suitor kutoka Kahama au Gamboshi...

Cc: mwallu

hahaha kijana wangu usikate tamaa maana kukata tamaa sio kiume ila hali halisi ndio hivyo.. mwallu "ndo baas tena"... (hivi yule Valentina aliishiaga wapi)
 
Last edited by a moderator:
hahaha kijana wangu usikate tamaa maana kukata tamaa sio kiume ila hali halisi ndio hivyo.. mwallu "ndo baas tena"... (hivi yule Valentina aliishiaga wapi)

unacheza faulu shem....sasa ya nn kuwataja wa zaman mbele ya mwallu lakini!!!! ushahongwa na masuitor wengine nn!???
 
unacheza faulu shem....sasa ya nn kuwataja wa zaman mbele ya mwallu lakini!!!! ushahongwa na masuitor wengine nn!???

hahaa hapo nimekumbuka "hadithi" tu apa nasubiria ijumaa ifike, sijui safari hii itakuwa inahusu nini...ila mambo ya hadithi zako kuishia na sijui Ukimwi mara Gono uache saa ingine we like happy ending bana
 
Back
Top Bottom