Seven things women always lie about

Seven things women always lie about

Don't believe a woman when replies the following seven answers;
3b87b0cd777514364012ce93709e109c.jpg
503929217e931cfb778a9452e82c3a62.jpg
113277bc5fda86ff41be0b425a0a6bc3.jpg
67fb80e57ac7d09054049bc90ddbd552.jpg
209e1f2af17a02cd99c9c249eb9bda24.jpg
76823650ee86eebe01242f597d5549a4.jpg
5a8e0290e0e20dff1498ccd9f4cd5d21.jpg
and vise versa!
 
Kila kitu sawa.

Unaposikia hivo kutoka kwa mwanamke usidhanie ni kweli hayuko salama na kilakitu hakiko shwari hasa ukijua haikutakiwa kuwa hivyo.

No 2

Teh
 
Kila kitu sawa.

Unaposikia hivo kutoka kwa mwanamke usidhanie ni kweli hayuko salama na kilakitu hakiko shwari hasa ukijua haikutakiwa kuwa hivyo.

No 2

Teh
Kama mm tu kweli kabisa
 
Ilitokea siku moja tuko Buguruni jamaa kakutana na binti walisoma high school huko mikoani sasa jamaa akataka wakakae sehemu waongee .Akamuuliza binti wewe si mwenyeji huku wapi karibu kuna guest house binti akasema hajui.
Ikabidi awaulize wahudumu wakamwelekeza jirani kuna guest house.Kitu cha ajabu walipofika alitoka kidogo kurudi akakuta ameletewa kinywaji cha moto badala ya baridi.kukatokea mzozo basi yule binti anawajua wale wahudumu kwa majina.
 
Ilitokea siku moja tuko Buguruni jamaa kakutana na binti walisoma high school huko mikoani sasa jamaa akataka wakakae sehemu waongee .Akamuuliza binti wewe si mwenyeji huku wapi karibu kuna guest house binti akasema hajui.
Ikabidi awaulize wahudumu wakamwelekeza jirani kuna guest house.Kitu cha ajabu walipofika alitoka kidogo kurudi akakuta ameletewa kinywaji cha moto badala ya baridi.kukatokea mzozo basi yule binti anawajua wale wahudumu kwa majina.
Hahahaaa. Uongo una gharama sana. Kwahiyo ikajulikana lile eneo yeye ni mwenyeji kabisa.
 
Siku zote uongo ni asili ya mtu hakuna cha Me wala Ke hapo tofauti ni namna tunavyovipokea.

Na pia niseme tu katika yote hayo ikitokea mwanamke au mwanaume akaviamini pale anapoambiwa na huyo mpenzi wake jua ana shida sababu vingi havizuiliki hapo. Hasa namba moja na hiyo nne.

Na hiyo namba sita. Mmh.
Haaa haaaa!
 
Ilitokea siku moja tuko Buguruni jamaa kakutana na binti walisoma high school huko mikoani sasa jamaa akataka wakakae sehemu waongee .Akamuuliza binti wewe si mwenyeji huku wapi karibu kuna guest house binti akasema hajui.
Ikabidi awaulize wahudumu wakamwelekeza jirani kuna guest house.Kitu cha ajabu walipofika alitoka kidogo kurudi akakuta ameletewa kinywaji cha moto badala ya baridi.kukatokea mzozo basi yule binti anawajua wale wahudumu kwa majina.
Haaa haaaa! Viwanja vyake hivyo
 
Back
Top Bottom