Seven deaths in UK among AstraZeneca jab recipients after blood clots

Watu milioni 30 wamedungwa hio chanjo hapo Uingereza, wamekufa 7 tu tayari watu wanasema ni hio chanjo. hakuna factors nyengine? Siku hizi watu hawatumii dawa wanatumia chanjo tu? hawali kitu wanakula chanjo tu? magonjwa yaliopo saivi hayampati mtu bali ni chanjo tu ndio chanzo?

Chanjo ni set of instructions for your immune system to learn how to fight the virus

Watu wanatafuta kila kitu cha kutetea maamuzi ya kijinga ya kutochanjwa.....
 
Unajua your level of ignorance haina mezani. Neno Astra asili yake ni ya kilatini na lina maana ya STAR

Sasa checki basi ulivyokuwa mjinga zaidi umeonesha translation ya neno Necare badala ya Neca.

Endelea kutizama conspiracy theories. Mnaamini mabeberu wanataka kuwaua wakati kila kukicha mnatumia madawa kutoka kwao. Wapumbavu
Wafuate basi mjinga wewe huko wakakupe hizo chanjo mpuuzi wewe
 
Unajua your level of ignorance haina mezani. Neno Astra asili yake ni ya kilatini na lina maana ya STAR

Sasa checki basi ulivyokuwa mjinga zaidi umeonesha translation ya neno Necare badala ya Neca.

Endelea kutizama conspiracy theories. Mnaamini mabeberu wanataka kuwaua wakati kila kukicha mnatumia madawa kutoka kwao. Wapumbavu
Hakuna chanjo wala mama yaake chanjo hapa tz. Na hakuna lockdown wala nini
 
Watu milioni 30 wamedungwa hio chanjo hapo Uingereza, wamekufa 7 tu tayari watu wanasema ni hio chanjo. hakuna factors nyengine? Siku hizi watu hawatumii dawa wanatumia chanjo tu? hawali kitu wanakula chanjo tu? magonjwa yaliopo saivi hayampati mtu bali ni chanjo tu ndio chanzo?

Chanjo ni set of instructions for your immune system to learn how to fight the virus
Hii sio chanjo ya kwanza duniani watu washachoma sana hawana mashaka nazo ila unafikiri kwanini mashaka yawe kwa hii chanjo ya corona tu? sasa hivi tunazungumzia kuhusu kuganda kwa damu na kufa kwa hao watu saba tu ila kiukweli hatujui kama hizo chanjo zina side effects zengine ambazo bado hatujazijua na zinaweza zikawa za muda mrefu,hayo ndio mambo ambayo watu wanahofia sababu chanjo zenyewe bado mpya kimsingi bado zipo kwenye majaribio.
 
Hii sio chanjo ya kwanza duniani watu washachoma sana hawana mashaka nazo ila unafikiri kwanini mashaka yawe kwa hii chanjo ya corona tu? sasa hivi tunazungumzia kuhusu kuganda kwa damu na kufa kwa hao watu saba tu ila kiukweli hatujui kama hizo chanjo zina side effects zengine ambazo bado hatujazijua na zinaweza zikawa za muda mrefu,hayo ndio mambo ambayo watu wanahofia sababu chanjo zenyewe bado mpya kimsingi bado zipo kwenye majaribio.
Watu wanahofia chanjo kwa sababu ya conspiracy theories TU ambazo kutwa zipo kuwadanganya watu. INternet imechangia sana ueneza conspiracy, nakwambia any new vaccine watu watakuja na their BS about it.
 
Watu wanatafuta kila kitu cha kutetea maamuzi ya kijinga ya kutochanjwa.....
Tatizo watu hawaelewi hata hio chanjo inafanyaje kazi. Wao wanaona eti depopulation theory, majanga yanayotokea siku izi ya nature yanatosha kuondosha mafungu ya watu. mijitu inakesha na video za youtube na facebook ikiwadanganya. Mabeberu walitaka chanjo kwanza ije Afrika kwenye huduma mbovu za afya, watu eeeeeh wakasema tumefanywa mbuzi wa kafara wakagoma. Beberu kaona isiwe tabu maana hata kwao Huduma za Afya zimezidiwa wapeane wao kwa wao, saivi wanagombana mabeberu kila mmoja anamlaumu mwenzake dozi hazitoshi.
 
Watu milioni 30 wamedungwa hio chanjo hapo Uingereza, wamekufa 7 tu tayari watu wanasema ni hio chanjo. hakuna factors nyengine? Siku hizi watu hawatumii dawa wanatumia chanjo tu? hawali kitu wanakula chanjo tu? magonjwa yaliopo saivi hayampati mtu bali ni chanjo tu ndio chanzo?

Chanjo ni set of instructions for your immune system to learn how to fight the virus
Mzee mbona unakaza fuvu sana aisee, Watu hao waliokufa mbona walikuwa wanakula Chakula kila siku, Wanakunywa dawa kila siku, mbona hawajahi kuganda damu ktk ubongo wao?? ina maana walipopata chanjo walibadili mfumo wa vyakula na dawa??
 
Mzee mbona unakaza fuvu sana aisee, Watu hao waliokufa mbona walikuwa wanakula Chakula kila siku, Wanakunywa dawa kila siku, mbona hawajahi kuganda damu ktk ubongo wao?? ina maana walipopata chanjo walibadili mfumo wa vyakula na dawa??
Na wewe kaza fuvu basi ujiulize watu 29,999,970 mbona hawakuganda damu na wao wamechukua chanjo hio hio?
 
Kweli imetengenezwa Oxford ila bado watu wanaendelea kuchomwa.

Na mimi nimechomwa nina mwezi sasa tangu nichomwe nasubiri ya pili.

Dawa yoyote Ina side effects zake kuna wengi haikuwadhuru na wachache sana imewadhuru.
Mkuu ulipata hiyo Oxford AstraZeneca? Huogopi kuhusu hizo reported death cases and blood clots effects? Unajiskiaje after hiyo chanjo uliyopata?
 
katika vitu ambavyo hunishangaza ni mtu kuendelea kung'ang'ania dawa haina madhara wakati kila uchwao watu wanaendelea kuganda damu na kufa hlf bado unakomaa kuwa dawa haina madhara?!!!

ni sawa na mtu anawapa chakula watu 30 halafu 7 wanakufa kutokana na chakula hicho halafu mtu anaendelea kukaidi chakula hicho eti hakina madhara
 
Watu milioni 30 wamedungwa hio chanjo hapo Uingereza, wamekufa 7 tu tayari watu wanasema ni hio chanjo. hakuna factors nyengine? Siku hizi watu hawatumii dawa wanatumia chanjo tu? hawali kitu wanakula chanjo tu? magonjwa yaliopo saivi hayampati mtu bali ni chanjo tu ndio chanzo?

Chanjo ni set of instructions for your immune system to learn how to fight the virus
utakapokufa wewe nadhani tutaichukua kama case study
 
Mkuu ulipata hiyo Oxford AstraZeneca? Huogopi kuhusu hizo reported death cases and blood clots effects? Unajiskiaje after hiyo chanjo uliyopata?

Hiyo hiyo ndio nilichomwa na siku ya pili kama kawaida mkono tu ulianza kuuma sehemu ya sindano
Halafu nikatumia paracetamol na mchezo ukaisha

Nashukuru Mungu sikupata side effects na sasa ni mda
Nasubiri ya pili tu
 
Back
Top Bottom