msamehene serukamba jaman kaomba radhi hapa msikilizen https://soundcloud.com/newsaddict/mheshimiwa-akiomba-radhi
Kamata hiyo!
View attachment 90456
Nitengenezee hizi kwa idadi ya wajumbe wa baraza la mawaziri niwagawie. Terms of payment ni cash on delivery. Sitaki mchezo na biashara.
Kamata hiyo!
View attachment 90456
Kamata hiyo!
View attachment 90456
Hahahahaa, wewe Birigita, hujawasikia Dentist wasiotumia Ganzi na wana deal hadi na kucha za watu?
Mkuu siku hizi natembea na Propranolol kabisa.....wakitaka kunin'goa kucha najidunga cc za kutosha, then nawaacha waendelee!!!Hahahahaa, wewe Birigita, hujawasikia Dentist wasiotumia Ganzi na wana deal hadi na kucha za watu?
Wewe ipo na akili mingi sana wewe!!!Kamegwa?!?!
Mkuu siku hizi natembea na Propranolol kabisa.....wakitaka kunin'goa kucha najidunga cc za kutosha, then nawaacha waendelee!!!
Kwa kweli this one was "classic"! Itakuwa imeingia kwenye hansard kama ilivyo? Au baada ya kuomba radhi wanafuta?.... COME ON, F*CK YOU "Serukamba"...
Kamata hiyo!
View attachment 90456
Nitengenezee hizi kwa idadi
ya wajumbe wa baraza la mawaziri niwagawie. Terms of payment ni cash on
delivery. Sitaki mchezo na biashara.