Taifa letu
Member
- Jan 4, 2017
- 25
- 7
Rais hajui kuwa tatizo la ajira lina madhara makubwa kwenye chaguzi zijazo yaan hata viajira 800 ni shida kutoa mpaka anaona bora kuachia wafungwa!!!!....nakukumbusha tu midege Kule namanyere na nkasi hawazijui!! Hutaki hata kulisha ng'ombe siku ya mnada!!!