Seriously

Taifa letu

Member
Jan 4, 2017
25
7
Rais hajui kuwa tatizo la ajira lina madhara makubwa kwenye chaguzi zijazo yaan hata viajira 800 ni shida kutoa mpaka anaona bora kuachia wafungwa!!!!....nakukumbusha tu midege Kule namanyere na nkasi hawazijui!! Hutaki hata kulisha ng'ombe siku ya mnada!!!
 
Rais hajui kuwa tatizo la ajira lina madhara makubwa kwenye chaguzi zijazo yaan hata viajira 800 ni shida kutoa mpaka anaona bora kuachia wafungwa!!!!....nakukumbusha tu midege Kule namanyere na nkasi hawazijui!! Hutaki hata kulisha ng'ombe siku ya mnada!!!
Tiss+Nec+PT+Wakurugenzi+DC+RC
ndo maana hana presha ata mkifaa njaa watu mil 1 ata mkikosa ajira watu mil3 ata mkafunga biashara watu mil5 uhakika wakurudi white house ni 100%.
so calm down komaa na hali yako dont stress up your self life is too short.
 
Rais hajui kuwa tatizo la ajira lina madhara makubwa kwenye chaguzi zijazo yaan hata viajira 800 ni shida kutoa mpaka anaona bora kuachia wafungwa!!!!....nakukumbusha tu midege Kule namanyere na nkasi hawazijui!! Hutaki hata kulisha ng'ombe siku ya mnada!!!
..Kuna Uchaguzi na kuna kupiga kura..Uchaguzi aliyeshinda anapewa Ushindi wake lakini kupiga kura hahahahahahah..unaweza kupiga ila wakahesabu kwa kupunguza..
 
Tiss+Nec+PT+Wakurugenzi+DC+RC
ndo maana hana presha ata mkifaa njaa watu mil 1 ata mkikosa ajira watu mil3 ata mkafunga biashara watu mil5 uhakika wakurudi white house ni 100%.
so calm down komaa na hali yako dont stress up your self life is too short.
Hapa demokrasia imeshakula kitanzi,Kilichopo tukae matanga kujiliwaza ,lakini matumaini ya merehemu kufufuka haipo tena
 

Attachments

  • download (1).jpg
    download (1).jpg
    2.4 KB · Views: 7
Back
Top Bottom