Hi wana-JF, jamani nisaidieni. Nataka kufungua retail hardware lakini sina mtaji ila nina experience na na shughuli za ujenzi. Sasa natafuta wholelers wa hardware ambao wanaweza wakanipa mali nikauza halafu nawarejeshea pesa yao kadiri bei tutakavyokubaliana bei na mie nachukua kafaida na kujijenga taratibu. Niko tayari kufanya makubaliano kisheria na hata udhamini wa nyumba na pia hata udhamini wa ndugu/marafiki. Niko Arusha lakini pia niko tayari kufanyia kazi hii popote Tz. Nimekwama naona labda njia hii itanikwamua. Contact 0715422594 au ni PM.