Habari wakuu,
Nimerudi kwenu kwa mara nyingine tena. Mwaka juzi (2021), nilikuja hapa kwenye jukwaa na kutafuta business partner ambaye atakuwa tayari kuwekeza kwenye Machine shop. Hii kwa maana ya kwamba mimi nitawekeza kwenye Ujuzi & Marketing na yeye atawekeza kwenye ununuzi wa machines ambazo ndio zitakuwa nyezo za kufanyia kazi na gharama za mwanzo za kununulia materials pindi kazi zikipatikana. Machines hizo zilikuwa ni Lathe M/C, Milling M/C, Shaper M/C na Welding M/C.
Sikufanikiwa kupata Business partner kwa wakati ule, hii ni kwa sababu kwa wakati ule wazo langu lilikuwa ni too risk hasa kwa mtu ambaye hana ujuzi na mambo ya Machine shop kuwekeza hela yake. Baada ya kukosa mwekezaji, mwaka huo 2021 nikaanza kutafuta kazi (Ikumbukwe tayari nilikuwa nimeshasajiri kampuni ambayo ipo active na documents zilizokamilika). Nikawa nafanikiwa kupata kazi ndogo ndogo ambazo zilikuwa zinanisaidia kulipia Operational costs za kampuni. Pindi nikipata kazi, inanibidi niwe na Cash ya kununua material na pia ya kuwalipa mafundi ili waweze kukamilisha kazi. Nilikuwa siwezi kuchukua material kwa mkopo kwa sababu ya ugeni kwenye industry. Pia malipo ya kazi nilizokuwa nazifanya, Payment inaweza kuchukua siku 30-60days. Na supplier wa materials wanataka hela yao ndani ya 20days (Hii ni kama umechukua kwa mkopo).
Kwa sasa nina changamoto ya mtaji unaozunguka (Running Capital). Asilimia 90% ya running capital ipo mikononi kwa customer. Hii ni kutokana na kwamba kuna ucheleweshwaji wa malipo. Na kwa sasa nina potential ya kupata kazi, kazi ambazo siwezi kuzisponsor kwa sababu ya kutokuwa na fedha za kununua materials na kuwalipa mafundi. Hivyo ninakuja kwenu nahitaji mwekezaji ambaye atawekeza Milioni 5 as per makubaliano. Au ambaye atakuwa tayari kuwekeza kwa kila kazi inayopatikana na kugwana profit as per makubaliano. Kwa sasa nina kazi ya M3 na inahitahi Milioni moja kuweza kuikamilisha.
Natanguliza shukrani. Kwa maelezo zaidi PM yangu iko wazi
Nimerudi kwenu kwa mara nyingine tena. Mwaka juzi (2021), nilikuja hapa kwenye jukwaa na kutafuta business partner ambaye atakuwa tayari kuwekeza kwenye Machine shop. Hii kwa maana ya kwamba mimi nitawekeza kwenye Ujuzi & Marketing na yeye atawekeza kwenye ununuzi wa machines ambazo ndio zitakuwa nyezo za kufanyia kazi na gharama za mwanzo za kununulia materials pindi kazi zikipatikana. Machines hizo zilikuwa ni Lathe M/C, Milling M/C, Shaper M/C na Welding M/C.
Sikufanikiwa kupata Business partner kwa wakati ule, hii ni kwa sababu kwa wakati ule wazo langu lilikuwa ni too risk hasa kwa mtu ambaye hana ujuzi na mambo ya Machine shop kuwekeza hela yake. Baada ya kukosa mwekezaji, mwaka huo 2021 nikaanza kutafuta kazi (Ikumbukwe tayari nilikuwa nimeshasajiri kampuni ambayo ipo active na documents zilizokamilika). Nikawa nafanikiwa kupata kazi ndogo ndogo ambazo zilikuwa zinanisaidia kulipia Operational costs za kampuni. Pindi nikipata kazi, inanibidi niwe na Cash ya kununua material na pia ya kuwalipa mafundi ili waweze kukamilisha kazi. Nilikuwa siwezi kuchukua material kwa mkopo kwa sababu ya ugeni kwenye industry. Pia malipo ya kazi nilizokuwa nazifanya, Payment inaweza kuchukua siku 30-60days. Na supplier wa materials wanataka hela yao ndani ya 20days (Hii ni kama umechukua kwa mkopo).
Kwa sasa nina changamoto ya mtaji unaozunguka (Running Capital). Asilimia 90% ya running capital ipo mikononi kwa customer. Hii ni kutokana na kwamba kuna ucheleweshwaji wa malipo. Na kwa sasa nina potential ya kupata kazi, kazi ambazo siwezi kuzisponsor kwa sababu ya kutokuwa na fedha za kununua materials na kuwalipa mafundi. Hivyo ninakuja kwenu nahitaji mwekezaji ambaye atawekeza Milioni 5 as per makubaliano. Au ambaye atakuwa tayari kuwekeza kwa kila kazi inayopatikana na kugwana profit as per makubaliano. Kwa sasa nina kazi ya M3 na inahitahi Milioni moja kuweza kuikamilisha.
Natanguliza shukrani. Kwa maelezo zaidi PM yangu iko wazi