Serious..serious..!natafuta mke mtarajiwa!

Sikubaligi atoke home mwenyewe,hawashindwi msingizia kibaka......kila sehemu mimi naye......hapo ka-improve kwa mema nayompa....
dah! unaweza ukatuwekea picha yake ya utotoni? tunataka kuitumia katika kampenzi za kupinga uchafuzi wa mazingira
 
kweli umeoza lakini tahazari na chawa mama, kuna species moja ya chawa inaharibu mpaka uzazi. na jamaa anaonekana anaexport chawa kabisa yaani.

Namuogesha mwenyewe....msambaa mimi wewe,najua kumsafisha haswaa....shida ni huo uso hau-improve......:embarrassed:
 
Bi mkubwa umetumwa na nani? wengine tumekimbia majibu, mpeni kijana moyo hata pm aridhike
 
Back
Top Bottom