dah! kamanda ukiona nachelewa kujibu usione nimezarau, network connection kidogo ina matatizo leo hapa kijijini kwetucant believe umenigeuka!
Jamani what is it that makes married man attracted to you my dear one??:twitch:Yani kwanzia sasa hivi itabidi tuwe tunaajiri PI awe anawachunguza wanaojisogeza kabla ya kuwasha green light!!!
Na wewe Kloro hivi una matatizo gani??Unaponda wenzako kumbe wewe ndo huwezekaniki kabisa????:sad:
Sijui nahisi kuna nyota ninayo ya kishetani.....maombi ndo muhimu......yaani kila nakogusa sio.....:laugh::laugh:
Tokaaa pepo mbaya tokaaaaaaaaaaa katika jina la jf
dah! kamanda ukiona nachelewa kujibu usione nimezarau, network connection kidogo ina matatizo leo hapa kijijini kwetu
katika training ya kuwa kwalifaid bodigad wa mwanamke kuna kipengele wanaitaga "emotional temptation resistance test" kwa kifupi "etrt", hii unafanya bila kumzuru mwanamke. ndio hiyo nilikuwa nafanyaga. na michelle amepasi. hongera kaka hashy.baada ya kufumaniana....?
katika training ya kuwa kwalifaid bodigad wa mwanamke kuna kipengele wanaitaga "emotional temptation resistance test" kwa kifupi "etrt", hii unafanya bila kumzuru mwanamke. Ndio hiyo nilikuwa nafanyaga. na michelle amepasi. Hongera kaka hashy.
hongera hashycool una mke mwema na bodyguard makini.
unajua nilikuwa nafikiria kuanzisha sredi ya kumpa hongera kaka hashy lakini kwavile amehuzuria hapa naona bora nimpongeze hapa hapa tu
dah! kweli michelle haikuwa rahisi, kaka hashy ana kila sababu ya kujivunia uwepo wako pembeni yake. naomba na bodigadi apongezwe kwa kuweza kutimiza miko ya kazi.Haitoshi Kloro.....tumfanyie party ya ushindi na mimi nipongezwe,haikuwa rahisi......
dah! jamaa ukimuita kibaka hupati zambi kabisa yaani.mtu akisema niliangalia sura,atakuwa ananitafuta neno jamani.....ndo kupenda mtu alivyo......
dah! kweli michelle haikuwa rahisi, kaka hashy ana kila sababu ya kujivunia uwepo wako pembeni yake. naomba na bodigadi apongezwe kwa kuweza kutimiza miko ya kazi.
mtu akisema niliangalia sura,atakuwa ananitafuta neno jamani.....ndo kupenda mtu alivyo......
dah! jamaa ukimuita kibaka hupati zambi kabisa yaani.
mtu akisema niliangalia sura,atakuwa ananitafuta neno jamani.....ndo kupenda mtu alivyo......
kweli umeoza lakini tahazari na chawa mama, kuna species moja ya chawa inaharibu mpaka uzazi. na jamaa anaonekana anaexport chawa kabisa yaani.Lakini ndo nimekufa nimeoza......:laugh::laugh:siambiwi,sisikii,sioni.....l.o.l hata Tandale kwa Fisi Guest House mi poa tu.....pampu ya Ugali hiyo.....lol
dah! jamaa ukimuita kibaka hupati zambi kabisa yaani.