Baba Erick
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 483
- 75
- Thread starter
- #21
Aksante ndugu yangu kwa kunishauri hilo ukweli sikuwa na jinsi ya kumuonyesha kwangu kwa sababu alinidanganya mwanzoni mi nikafikiri nitaoa ndugu
No usikate tamaa, bado wapo wakweli na wenye nia ya kua na uhusiano imara. Cha msingi endelea kutafuta.Aksante ndugu yangu kwa kunishauri hilo ukweli sikuwa na jinsi ya kumuonyesha kwangu kwa sababu alinidanganya mwanzoni mi nikafikiri nitaoa ndugu
Unakumbuka yaliyompata Ufoo Saro?
Hilo lako umeshalikoroga lazima ulinywe
Aksante ndugu yangu kwa kunishauri hilo ukweli sikuwa na jinsi ya kumuonyesha kwangu kwa sababu alinidanganya mwanzoni mi nikafikiri nitaoa ndugu
Hahahah, mkuu shangingi naye anaweza asitoke huko ndani,akaona ndo amefika.Kwani hiyo nyumba imegandamana nawe kama kobe? Kama ni ya kupanga, Hama nyumba mwache humo ndani akikaa mwenyewe atajichokea atarudi kwake. Kama ni kwako kodisha shangingi mlete home kama mpenzi waleteane varangati ataondoka kama ni ngumu kote kote then hama mji kimya kimya maana kuhamia kwako ni more than msala!
Jamani hebu tuwe serious basi mbona mnanitishia na siyo kunishauri