Kuna ile hali ya kuikwepa damu yako isipatwe na laana za kikoo
Mfano km kila uzao lazima taahira apatikane kutokana na makes I ya wazee wetu wakaapiana kuwa kutakuwa na mataahira mpaka kizazi cha ko cha 5 .
Sasa km mnazakiana ntakuwa mnazaliana laana bora utoke nje uchanganye damu ingine mtoe watoto walau wataepukika.
Huo ni mfano