Serikari yapiga marufuku mikutano ya kisiasa Dodoma

Ccm kwa sasa ni. Kama mgonjwa mahututi, chochote kitakachofanyika hakitakisaidia,
Kuruhusu maandamano ni kuiruhusu cdm kujenga ushawishi wake kwa wananchi ambapo cdm ina haki hiyo kwa mujibu wa katiba.

Na vilevile kuikataza cdm kufanya mikutano,maandamano au kitu kingine chochote ambaxcho katiba na sheria imetoa haki hiyo nayo inaiweka ccma ktk hali mbaya zaidi kwani licha ya kuipaisha cdm pia itapata sympathy ya watu, na watu wengu watavutiwa kutaka kujua cdm huwa wanasema nini ktk mikutano yao hadi serikali ikaogopa na kukataza kufanya mikutano hiyo.
Mwisho chochote wanachoamua kukifanya ccm kukinusuru chama chao ni zero tu, ni sawa na mgonjwa kama akifika hali ya kushindwa kuishi huwa wanadai maji, hapo ukimpa atayachukua maji atajaribu kuyanya na hayatopita kooni yatamwagika na mwisho atakata roho, na hata ukimnyima ukihofu kuwa majoi yasiwe chanzo cha kifo cha mgonjwa wako, atatoa macho kwa kiu huku akiwa na donge rohoni kuwa inakuwaje wewe uliye jukumu la kumsaidia yeye ukatae kumpa maji ili uokoe maisha yake, mwisho atakufia mikononi huku akiwa na sikitiko moyoni.

Amini asoamini ccm imefika hatua hii sasa dua na sala zetu ni muhimu, ili kupunguza watu watakaoenda mahkamani baada ya ccm kupigwa chini 2015 ,aana kuna wengine watapelekwa m,ahakamani kwa kutuibia rasilimali zeru lakini wengine watapelekwa mahakamani kwa kututukana sisi na wazazi wetu.

Mungu ibariki Tanzania
 
wapige marufuku na bunge kukutana maana ao ni mkutano wa kisiasa na wanakuttana wanasiasa
 
conflict is a fact of life; conflict has value in organizations because it: 1. spotlights problems that require attention 2. forces clarification 3. can invigorate leaders to strive for permanent solutions 4. directs the efforts or the organization toward finding solutions 5. counteract lethargy that can overtake organizations 6. challenges old habits and restores dynamic creativity that existed during the organization's formative stages 7.stimulates interest and curiosity.
conflict is the gadfly of thought it stirs us to observation and memory. it instigates to invention. it shock us out of sheep like passivity, and set us at noting and contriving....Conflict is a sine qua non of reflection and ingenuity.
sources of conflict; conflicts occur in every part of life. but why? the six common are; 1. Perceptual differences. 2. Priority of value differences. 3. Different expectations or role pressures. 4. Divergent goals. 5. Self-esteem or status threat. 6. Personality clashes.
skills for resolving conflict; In any conflict between two parties, the approach and style for resolving conflict depends upon; assertiveness;. when important goals are at stake, leaders need to show assertive actions in pursuing the organization's view, needs, and goals. if the results have little importance, effective leaders wisely withhold assertive action.
responsiveness;. how highly leaders (or groups) value the views, needs, and goals of the other party and the keeping of a good relationship with them, determines the level of response. leaders need expertise in these two skills (assertiveness and responsiveness) both in resolving conflict situations and in dealing with people in general.
To summarize; Through non-assertive (submissive) behavior people usually hurt themselves by their own self-denial. If they have an overly developed ‘’polite’’ response, they lose the right to act as they would like to, are unable to express their true feelings, and usually do not achieve their goals.
Through aggressive behavior, people usually achieve their goals by hurting or infringing on the rights of others. This results in vengeance and hatred from others and makes them feel anxious.
Though assertive behavior, people usually achieve their goals without hurting others’ rights and feelings, or foregoing the expressing of their own opinions. Assertive behavior enhances self and gives honest expressions of feelings and viewpoints.
Self-assertion leads to;
i) Increased self- respect
ii) Increased respect others
iii) More control over life
iv) More influence on external events
v) Greater freedom from pressures or others’ opinions
vi) More flexibility in interactions with others
vii) More inter-personal power
viii) Enhanced inter-personal skills and less manipulation by others.
 
Source Tbccm


imagejpeg





Eti wanaogopa hari ya umma wanaweza kukawa Bungeni kukawa si eneo salama kwa vigigo Bungeni
Kuna mvuvi mmoja kutoka ziwa Victoria amenitumia ujumbe ufuatao:

" ¡"" ¡__ ¡"" ¡
¡ ___ abari
¡__ ¡ ¡__ ¡ ndiyo hiyo,tupo hapa tunatengeneza jeneza maana hali ya mzee (CCM) sio nzuri anapumua kwa ku2mia mitambo,baada ya kusumbuliwa na maradhi ya RICHIMOND,EPA na ESCROW kwa muda mrefu.Kwa hiyo ameniagiza nikutaarifu tujiandae kumzika kwenye uchaguzi mkuu mwaka 2015.ukiipata sms hii, mtarifu na mwingine ili tuhudhurie kwa wingi ktk mazishi hayo ya mzee(CCM) FISADI mkumbwa wa nchi YETU."
 
Mbona Kikinnana na Vvvuvuzela(NEPI) wanazurura nchi nzima je wao wana Polisi wao au ni hawahawa wa WOTE maskini nchi yangu:canada:
 
Back
Top Bottom