mirindimo JF-Expert Member Joined Nov 2, 2009 Posts 1,116 Reaction score 2,481 Sep 25, 2023 #1 Mkuu wa kitengo anapelekewa dokezo 2020 anakuja kulisaini 2023. Hii nchi CCM mnatufikisha mahala pa ajabu sana. Hawa watu kwanini mnawaacha Ofisini?
Mkuu wa kitengo anapelekewa dokezo 2020 anakuja kulisaini 2023. Hii nchi CCM mnatufikisha mahala pa ajabu sana. Hawa watu kwanini mnawaacha Ofisini?
Msakaa Jr JF-Expert Member Joined May 18, 2017 Posts 7,450 Reaction score 7,923 Sep 25, 2023 #2 Ofisi gani hiyo mkuu Sent using Jamii Forums mobile app