Serikali zote duniani hazitaki watu wajue ukweli

Serikali zote duniani hazitaki watu wajue ukweli

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
12,212
Reaction score
23,258
Duniani kote serikali zote hazitaki watu wajue ukweli!

Kwasababu "Ukweli huwaweka watu huru"

Duniani kote viongozi huapa kuficha siri, Hushika misaafu na biblia kutangaza kuwa wataficha siri badala ya kuapa kusema ukweli na haki!

Yote hayo ili serikali itawale kwa amani inabidi watu wasiwe huru kujua ukweli!
Hivyo nakusanua Leo ishi humu:
  • Ukiona jambo linakanushwa na serikali yoyote kuwa ni uzushi basi tambua "huo ndiyo ukweli wenyewe"
  • Ukiona jambo linatangazwa na kuhamasishwa wananchi wajitokeze tambua hilo jambo "linamaslahi makubwa kwa wahamasishaji kuliko wananchi wanaohimizwa kujitokeza"
  • Ukiona serikali inahimiza ibada ni kwa ajili ya kuiombea aman serikali husika
  • Ukiona mtoa taarifa anasakwa kwa tuhuma za kusema uongo basi alichosema ni kweli
  • Ukiona jambo limetolewa ufafanuzi basi huo ufafanuzi huo huwa ndiyo uongo halisi!
  • Ukiona jambo linatolewa bure basi hilo jambo linamaslahi kwa watawala
Huruma pekee ya kweli kwa serikali zote duniani kwa wananchi wake huwa ni kuwazika wanapofariki!

Jitahidi sana kuujua ukweli inje ya mifumo ya serikali, maana huo ndiyo ukweli halisi utakaokuweka huru!
 
Infact the government is an obstacle to development. People who dont pay a price for wrong decisions shouldnt be at the forefront of economic life. I prefer a small government with no interference in the economy
 
True wengi hawalijui hili. Hata ccm haiwezi kukuletea maendeleo ikileta tu itaondoka madarakani.
Thus Wanapiga Sana propaganda za maendeleo kimaneno zaidi kuliko vitendo
 
Duniani kote serikali zote hazitaki watu wajue ukweli!

Kwasababu "Ukweli huwaweka watu huru"

Na ili serikali itawale kwa amani inabidi watu wasiwe huru kujua ukweli!
Hivyo nakusanua Leo ishi humu:
  • Ukiona jambo linakanushwa na serikali yoyote kuwa ni uzushi basi tambua "huo ndiyo ukweli wenyewe"
  • Ukiona jambo linatangazwa na kuhamasishwa wananchi wajitokeze tambua hilo jambo "linamaslahi makubwa kwa wahamasishaji kuliko wananchi wanaohimizwa kujitokeza"
  • Ukiona serikali inahimiza ibada ni kwa ajili ya kuiombea aman serikali husika
  • Ukiona mtoa taarifa anasakwa kwa tuhuma za kusema uongo basi alichosema ni kweli
  • Ukiona jambo limetolewa ufafanuzi basi huo ufafanuzi huo huwa ndiyo uongo halisi!
  • Ukiona jambo linatolewa bure basi hilo jambo linamaslahi kwa watawala
Huruma pekee ya kweli kwa serikali zote duniani kwa wananchi wake huwa ni kuwazika wanapofariki!

Jitahidi sana kuujua ukweli inje ya mifumo ya serikali, maana huo ndiyo ukweli halisi utakaokuweka huru!
F
Facto
 
Duniani kote serikali zote hazitaki watu wajue ukweli!

Kwasababu "Ukweli huwaweka watu huru"

Na ili serikali itawale kwa amani inabidi watu wasiwe huru kujua ukweli!
Hivyo nakusanua Leo ishi humu:
  • Ukiona jambo linakanushwa na serikali yoyote kuwa ni uzushi basi tambua "huo ndiyo ukweli wenyewe"
  • Ukiona jambo linatangazwa na kuhamasishwa wananchi wajitokeze tambua hilo jambo "linamaslahi makubwa kwa wahamasishaji kuliko wananchi wanaohimizwa kujitokeza"
  • Ukiona serikali inahimiza ibada ni kwa ajili ya kuiombea aman serikali husika
  • Ukiona mtoa taarifa anasakwa kwa tuhuma za kusema uongo basi alichosema ni kweli
  • Ukiona jambo limetolewa ufafanuzi basi huo ufafanuzi huo huwa ndiyo uongo halisi!
  • Ukiona jambo linatolewa bure basi hilo jambo linamaslahi kwa watawala
Huruma pekee ya kweli kwa serikali zote duniani kwa wananchi wake huwa ni kuwazika wanapofariki!

Jitahidi sana kuujua ukweli inje ya mifumo ya serikali, maana huo ndiyo ukweli halisi utakaokuweka huru!
Kumbe una akili..
 
Kwenye mambo ya Imani. Kila kitu ni vice versa. Unaeambiwa ni Mungu ndo Shetani na unaeambiwa ni Shetani ndio Mungu wa kweli wa asili.

Akili mtu wangu akili
 
Duniani kote serikali zote hazitaki watu wajue ukweli!

Kwasababu "Ukweli huwaweka watu huru"

Duniani kote viongozi huapa kuficha siri, Hushika misaafu na biblia kutangaza kuwa wataficha siri badala ya kuapa kusema ukweli na haki!

Yote hayo ili serikali itawale kwa amani inabidi watu wasiwe huru kujua ukweli!
Hivyo nakusanua Leo ishi humu:
  • Ukiona jambo linakanushwa na serikali yoyote kuwa ni uzushi basi tambua "huo ndiyo ukweli wenyewe"
  • Ukiona jambo linatangazwa na kuhamasishwa wananchi wajitokeze tambua hilo jambo "linamaslahi makubwa kwa wahamasishaji kuliko wananchi wanaohimizwa kujitokeza"
  • Ukiona serikali inahimiza ibada ni kwa ajili ya kuiombea aman serikali husika
  • Ukiona mtoa taarifa anasakwa kwa tuhuma za kusema uongo basi alichosema ni kweli
  • Ukiona jambo limetolewa ufafanuzi basi huo ufafanuzi huo huwa ndiyo uongo halisi!
  • Ukiona jambo linatolewa bure basi hilo jambo linamaslahi kwa watawala
Huruma pekee ya kweli kwa serikali zote duniani kwa wananchi wake huwa ni kuwazika wanapofariki!

Jitahidi sana kuujua ukweli inje ya mifumo ya serikali, maana huo ndiyo ukweli halisi utakaokuweka huru!
Tena uipate serikali au watendaji ambao wakiwa ktk majukumu yao ya kiserikali hapo dini wanaiweka pembeni na kubaki hawana dini. Ogopa sana. Hapo ujue dini yao na Mungu wao ni pesa pekee.
 
Msemaji wa serikali huku kijijini kwetu angejibu hoja zako kwa mtiririko ufuatao.

Siri za nchi hazipo kwa sababu ya maslahi ya kikundi cha watu bali jamii nzima. Kuna mambo kuyaweka hadharani yanahatarisha maisha ya watu huko walipo field.

Wenzetu wana spies ambao kazi yao kubwa ni ku infiltrated mipango ya nchi zingine hiyo kazi ni risk business. Hata mipango yao ya ulinzi wa ndani mengine inabidi ifanywe kinyume na sheria hasa baada ya kupigwa na tukio ambalo wangeweza lizuizia isipokuwa sheria iliwabana kuweza kubaini tatizo mapema.

Hayo mambo yanataka siri na mengine kedekede, vinginevyo huko kwao kuna wanasheria private na wamebobea kwenye constitutional law wanaweza shitaki serikali na kutakiwa kuwaachia suspect huru kama walikamatwa kwa upelelezi kinyume na sheria au kuwalipa watu fidia. So siri ni kigezo kikubwa serikalini kwa sababu nyingi sana.

Serikali kukanusha
Moja ya jukumu la serikali ni kuelimisha jamii zao. Jambo ambalo linaweza potosha jamii ni lazima litolewe ufafanuzi na serikali ili wananchi wasiwe na mtazamo potofu (wanakichukulia hili swala very serious), it’s one of the national security top agenda nchi za wenzetu.

Mfano katika nchi zenye devolution ya majimbo lazima kuwe na chombo kimoja ambacho kipo chini ya serikali ili waweze fikia sehemu yeyote. Kwa nchi zilizoendelea serikali lazima iwe na upper hand kwenye ku control narrative, I can’t emphasis enough this a no joke kwenye usalama wa taifa huko kwao.

Kuhamasisha jambo
Ni kweli lakini mara nyingi ni kwa maslahi ya taifa serikali zao zinatumia nguvu nyingi sana ku shape behaviour za jamii kwa maslahi ya kubadili social thinking (again ni important tool kwenye maendeleo, be it some promotion ni debatable morally), lakini nyingi ni za ulazima na faida kwenye kubadili fikra za watu hasa wenye uelewa mdogo juu ya jambo fulani.

Ibada
Ni kwa sababu dini nyingi zinafundisha watu kufanya mambo mema, and offers hope to individual where the government can’t so positive religious reinforcement ni tool muhimu kwenye amani ya nchi.

Ukiona mtu anasakwa kusema uongo
Kuna mawili kama ni afisa wa usalama basi anashukiwa kutoa siri ya mambo ambayo nimeyaelezea awali au ame-leak sensitive information nje ya mfumo. Kama ni mtu wa nje kapewa siri na kabwabwaja huyo kiumbe watamsumbua kutaka kujua source yake na wakimbaini aliempatia hizo info, muhusika atatia akili kama hawajachukua uhai wake. Ulaya huwa awana utani na kutoa siri za nchi.

Pili kwa raia au vyombo vya habari kuna sheria kali za kutangaza habari usipofuata au ukajitungia story tu adhabu zake ni kali mno, Tanzania zipo Magufuli alijaribu vilio tumeviona ila huko kwao vunja ukione cha moto kama wewe ni mainstream media.

Ukiona jambo linatolewa bure
Hii ni sehemu ya promotion ya sera au kubadili social thinking kuendana na agenda ya kitaifa.


Hayo maelezo ni kwa ufupi tu, sijui kwetu Tanzania; lakini huko kwa wenzetu hiyo top echelon ya civil services inayoongozwa na katibu mkuu kiongozi sikia tu kuna mijitu ina akili na mbinu za kuongoza nchi sio mchezo, halafu imepikwa huko awaokoti watu mtaani na kuwapa post za juu ndani ya wizara hadi kufikia kuwa kigogo wizarani sio shughuli ndogo.

Hao wanasiasa wenyewe baada ya kushinda chaguzi chamoto wanakiona wakitaka kubadili dira ya nchi pamoja na kwamba wao ndio wenye mandate na sio hao civil services.

Tanzania ni nchi ambayo inaendeshwa ovyo mno sijapata kuona.
 
Tena uipate serikali au watendaji ambao wakiwa ktk majukumu yao ya kiserikali hapo dini wanaiweka pembeni na kubaki hawana dini. Ogopa sana. Hapo ujue dini yao na Mungu wao ni pesa pekee.
Watawala ndiyo chanzo cha ugumu wa maisha kwasababu hawasemi ukweli
 
Back
Top Bottom