vadrick Member Joined Aug 3, 2016 Posts 64 Reaction score 41 Apr 9, 2024 #1 Hivi ili suala la Serikali za Mitaa kukagua leseni na kulazimisha watu kutoa hela kama hauna leseni ipoje wakuu?
Hivi ili suala la Serikali za Mitaa kukagua leseni na kulazimisha watu kutoa hela kama hauna leseni ipoje wakuu?
Mhafidhina07 JF-Expert Member Joined Aug 1, 2014 Posts 3,652 Reaction score 5,133 Apr 9, 2024 #2 hakuna sheria hiyo labda ni utashi,pia jaribu kwenda kuripoti japo wote ni wamoja.