wakikosi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,354
- 1,493
Kwamiaka mingi sana walimu wanaofundisha shule za serkali zote za msingi na secondary wamekuwa wakipata masrahi duni sana Tanzania ukilinganisha na watu wa kada nyingine.
Mwalimu wa Tanzania analipwa pesa mdogo sana mbali ya hapo halipwi posho,halipwi ela ya fani aliyosomea wala halipwi overtime. Maisha ya walimu ni magumu sana lakini hapo hapo serkali inatamka kila siku kuwa anataka kuboresha elimu ya Tanzania.
Elimu bora ni pamoja na walimu bora,Mwalimu atakuaje bora kama ana njaa?? Imefika kipindi hata waosha magari wa mitaani wanajiona wana pesa kuliko walimu wa Tanzania.
Hivi serkali za CCM kwani ninyi walimu mnawaonaje au mnawaona hawastahiri kulipwa vizuri?
Mwalimu wa Tanzania analipwa pesa mdogo sana mbali ya hapo halipwi posho,halipwi ela ya fani aliyosomea wala halipwi overtime. Maisha ya walimu ni magumu sana lakini hapo hapo serkali inatamka kila siku kuwa anataka kuboresha elimu ya Tanzania.
Elimu bora ni pamoja na walimu bora,Mwalimu atakuaje bora kama ana njaa?? Imefika kipindi hata waosha magari wa mitaani wanajiona wana pesa kuliko walimu wa Tanzania.
Hivi serkali za CCM kwani ninyi walimu mnawaonaje au mnawaona hawastahiri kulipwa vizuri?
