JAPUONY
JF-Expert Member
- Jul 16, 2010
- 383
- 186
Ndugu wana JF,
Naleta taarifa hii siyo kwamba napenda kuleta taarifa tu ila kuwa TANZANIA hasa VIONGOZI wajifunze kutokana na makosa wanayoendelea kuyafanya katika Taifa letu.
Muda mfupi leo Jumatano, Serikali NZIMA ya nchi ya Bulgaria imejiuzulu baada ya Wananchi kufanya maandamano ya kupinga maisha magumu yatokanayo na kupanda kwa bei za bidhaa nchini humo ikiwemo Umeme na vyakula. Rais na wateule wake wote wamejiuzulu baada ya Rais kusema hawezi kuwepo madarakani watu wakiendelea kumwaga damu. Bofya hapa kwa habari zaidi.
This should be a signal to "your" JK - Mr. Walker a.k.a. Vasco da Gama!
Naleta taarifa hii siyo kwamba napenda kuleta taarifa tu ila kuwa TANZANIA hasa VIONGOZI wajifunze kutokana na makosa wanayoendelea kuyafanya katika Taifa letu.
Muda mfupi leo Jumatano, Serikali NZIMA ya nchi ya Bulgaria imejiuzulu baada ya Wananchi kufanya maandamano ya kupinga maisha magumu yatokanayo na kupanda kwa bei za bidhaa nchini humo ikiwemo Umeme na vyakula. Rais na wateule wake wote wamejiuzulu baada ya Rais kusema hawezi kuwepo madarakani watu wakiendelea kumwaga damu. Bofya hapa kwa habari zaidi.
This should be a signal to "your" JK - Mr. Walker a.k.a. Vasco da Gama!