Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe!

Tatizo kubwa na chuki ni watu kukosa kuingia ikulu ikiwa hapa nyumbani kuna watanzania halisi wanaweza kusema rais kapanga mpango wa kumuua fulani vyombo vya nje vimepata wapi habari kama si huyu alieweza kutamka hapa kwao dawa ni kuwapuuza kama wanavyopuuzwa hapa,hawazimi jua wala hawaleti mvua!

duh wanamuonea sana magu......

ila kwann asiwaumbue kwa kuwakamata waliofanya tukio hilo
fikiria jwtz,usalama, polisi na wananchi wapo chini yake lakini anashindwa kuwakamata wahuni waliofanya tukio?

je tupo salama kweli, kama mwizi anakuja anaiba na kuondoka bila hata kupewa misukosuko?

vijana wetu tuliowagalamia kupata elimu ya namuna hio wapo wapi?

intelenjensia imekufaaa?

maadui wetu kweli wanatuhofia?

pole rais, vijana wa sahizi hawana heshima. wanahiji sana, wakati zamani taulo la mzee likidondoka huwa tunafumba macho ila watotot wa leo wanakodoa na kutuma kwa mitandao with caption 'MZEE BADO HAJA SHAVE LOL?????'

UZALENDO KAZI KWELI
 
Inafaa VIGEZO vya uzalendo viwekwe wazi ili kila anayejifikiria / anayejitangaza kuwa ni mzalendo ajipime mwenyewe kwani hata wasiojulikana nao wanaweza kujidai kuwa wazalendo!
 
Wanabodi,

Huu ni uzi wa swali kuhusu Serikali Yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian", Jee ni Kweli?. Kama Sii Kweli, inamaanisha ni uongo!, Tusikubali Uongo Huu!, Tuukanushe, maana uongo ukisemwa sana bila kukanushwa, mwisho wake hugeuka kuwa kweli!. Na uzalendo ni pamoja za kutokubali nchi yako isemwe vibaya kwa kuzushiwa uongo na media za nje, huku sisi wenyewe, tumenyamaza tuu!. Kunyamaza huku kutapelekea dunia kuamini yote yanayosemwa kuhusu Tanzania ni kweli.

Nakiri kupandisha uzi huu kutokana na bandiko la Mkuu Return Of Undertaker
Gazeti la Uingereza laimulika serikali ya Magufuli na kusema ...

Jarida la Africa Confidential toleo la 58, story number 20 lililochapishwa Oktoba 6, limesema hivi kuhusu Tanzania.
Vol 58 No 20
Published 6th October 2017
"Magufuli on the warpath
6TH OCTOBER 2017
An assassination attempt against an opposition leader raises suspicions about sinister government tactics
When 40 bullets were pumped into the car carrying Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) member of parliament Tundu Lissu outside his Dodoma home on 7 September, claims of the country's descent into authoritarianism suddenly became more credible".

Hawa jamaa wamesema serikali yetu ni "sinister" na pia inaendesha nchi kwa mtindo wa "authoritarianism"!. Haya sio maneno mazuri kwa serikali iliyoingia madarakani kwa ushindi halali katika sanduku la kura, kupitia uchaguzi ulioendeshwa na Tume huru ya Uchaguzi, hivyo uchaguzi ulikuwa ni huru na wa haki, hivyo matokeo ni halali, na nchi yetu inaendeshwa kwa kufuata misingi ya katiba, na kuheshimu utawala wa sheria.

Ikulu yetu, Waziri Mwakyembe na Idara yetu ya Habari, tusikalie kuyafungia tuu magazeti ya ndani kwa kutoa habari za kweli msiopendezwa nazo, huku tukikaa kimya wakati habari za uongo kuhusu nchi yetu zikienezwa na media za nje!, habari yoyote ambayo sii ya kweli, kuihusu Tanzania na rais wetu, ikitolewa, tusikae kimya, ikanushwe!, vinginevyo itaonekana ni kweli!.

Mbona Kikwete alipotuhumiwa kwa kitu kitu kidogo tuu, kuhongwa suti, Ikulu yetu ilikanusha, kwa nini hizi media za nje, zinaituhumu serikali yetu kwa mambo makubwa, na mabaya hivi, halafu serikali yetu imekaa kimya, imenyamaza?.

Hata kama serikali imenyamaza, lets say iko too bize na mambo muhimu zaidi kwa taifa, hivyo haina time na vituhuma hivi vya media za nje, jee wako wapi Watanzania walendo wa kweli wa kuitetea nchi yetu yetu inaposemwa vibaya?!.

Mimi naomba kujipambanua kuwa ni Mtanzania Mzalendo, na kwa mujibu wa fani yangu, kazi yangu na uwezo wangu ni kuandika tuu au kusema!, rais wetu alipotuhumiwa kuhongwa suti nilisema.
Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi ...

Hata kelele kuhusu udikikiteta wa Magufuli ziliposhika kasi nilisema
Udikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka ...

Magufuli aliposemwa vibaya na SABC, nilisema
Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu ...

Magufuli aliposemwa vibaya kuhusu Mimba za utotoni, pia nilisema
Je, Huku Sio Kudhalilishwa Kwa Rais Wetu na Media za Nje?. Jee ...

Na sasa hapa serikali yetu inaposemwa vibaya, nimeandika na kushauri tusikubali, tusikae kimya, tukanushe unless kama yanayosemwa kuihusu serikali yetu ni kweli!.

Mungu ibariki Tanzania.

Jumapili Njema.

Paskali.
Lifungueni hilo gazeti haraka
 
Naona %95 ya waliochangia uzi huu hawakumwelewa PM. Hii ni hatari sana kwa mtandao huu wa ma GT
Tumemwelewa vizuri sana Bro Pascal, na amepost kitu mhimu sana kwa ustawi wa bongo yetu. Ila personal Pascal yeye kama yeye zamani nilimukubali sana, kwa sasa hivi labda ameambiwa watchup Ndio maana kuna kipindi anazunguka sana mbuyu.
 
Serikali ni sinister. Inavunjia nyumba raia wake yenyewe ambao wana court order against that.

Serikali ni authoritarian. Rais kateua Katibu wa Bunge bila kulishirikisha Bunge kinyume na katiba.

Mifano miwili ya haraka ya hivi karibuni.

Uliza jingine.
 
Wanabodi,

Huu ni uzi wa swali kuhusu Serikali Yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian", Jee ni Kweli?. Kama Sii Kweli, inamaanisha ni uongo!, Tusikubali Uongo Huu!, Tuukanushe, maana uongo ukisemwa sana bila kukanushwa, mwisho wake hugeuka kuwa kweli!. Na uzalendo ni pamoja za kutokubali nchi yako isemwe vibaya kwa kuzushiwa uongo na media za nje, huku sisi wenyewe, tumenyamaza tuu!. Kunyamaza huku kutapelekea dunia kuamini yote yanayosemwa kuhusu Tanzania ni kweli.

Nakiri kupandisha uzi huu kutokana na bandiko la Mkuu Return Of Undertaker
Gazeti la Uingereza laimulika serikali ya Magufuli na kusema ...

Jarida la Africa Confidential toleo la 58, story number 20 lililochapishwa Oktoba 6, limesema hivi kuhusu Tanzania.
Vol 58 No 20
Published 6th October 2017
"Magufuli on the warpath
6TH OCTOBER 2017
An assassination attempt against an opposition leader raises suspicions about sinister government tactics
When 40 bullets were pumped into the car carrying Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) member of parliament Tundu Lissu outside his Dodoma home on 7 September, claims of the country's descent into authoritarianism suddenly became more credible".

Hawa jamaa wamesema serikali yetu ni "sinister" na pia inaendesha nchi kwa mtindo wa "authoritarianism"!. Haya sio maneno mazuri kwa serikali iliyoingia madarakani kwa ushindi halali katika sanduku la kura, kupitia uchaguzi ulioendeshwa na Tume huru ya Uchaguzi, hivyo uchaguzi ulikuwa ni huru na wa haki, hivyo matokeo ni halali, na nchi yetu inaendeshwa kwa kufuata misingi ya katiba, na kuheshimu utawala wa sheria.

Ikulu yetu, Waziri Mwakyembe na Idara yetu ya Habari, tusikalie kuyafungia tuu magazeti ya ndani kwa kutoa habari za kweli msiopendezwa nazo, huku tukikaa kimya wakati habari za uongo kuhusu nchi yetu zikienezwa na media za nje!, habari yoyote ambayo sii ya kweli, kuihusu Tanzania na rais wetu, ikitolewa, tusikae kimya, ikanushwe!, vinginevyo itaonekana ni kweli!.

Mbona Kikwete alipotuhumiwa kwa kitu kitu kidogo tuu, kuhongwa suti, Ikulu yetu ilikanusha, kwa nini hizi media za nje, zinaituhumu serikali yetu kwa mambo makubwa, na mabaya hivi, halafu serikali yetu imekaa kimya, imenyamaza?.

Hata kama serikali imenyamaza, lets say iko too bize na mambo muhimu zaidi kwa taifa, hivyo haina time na vituhuma hivi vya media za nje, jee wako wapi Watanzania walendo wa kweli wa kuitetea nchi yetu yetu inaposemwa vibaya?!.

Mimi naomba kujipambanua kuwa ni Mtanzania Mzalendo, na kwa mujibu wa fani yangu, kazi yangu na uwezo wangu ni kuandika tuu au kusema!, rais wetu alipotuhumiwa kuhongwa suti nilisema.
Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi ...

Hata kelele kuhusu udikikiteta wa Magufuli ziliposhika kasi nilisema
Udikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka ...

Magufuli aliposemwa vibaya na SABC, nilisema
Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu ...

Magufuli aliposemwa vibaya kuhusu Mimba za utotoni, pia nilisema
Je, Huku Sio Kudhalilishwa Kwa Rais Wetu na Media za Nje?. Jee ...

Na sasa hapa serikali yetu inaposemwa vibaya, nimeandika na kushauri tusikubali, tusikae kimya, tukanushe unless kama yanayosemwa kuihusu serikali yetu ni kweli!.

Mungu ibariki Tanzania.

Jumapili Njema.

Paskali.
Tabu yote ya nini hii !!??Dawa ni kufungia na kutunga sheria kuwa ni kosa Mtanzania kusoma habari za nje ya nchi na hii inawezekana kabisa kama ilivyo fanikiwa North Korea ni swala la kwenda hapo ubalozi wa N korea kuchukua ujuzi
Tena hii sheria ianze na wewe Pascal ukome kusoma magazeti ya nje na kutuletea .wacha tuendelee kusoma namba zetu kwa kiswahili na amani mpaka 2020 alafu ndio tuone tuendelee au inatosha
 
Kwangu mimi hata kiongozi awe anafanya mema kiasi gani,inapofika mahali katika nchi nzima yeye tuu ndo akajiona bora na mzalendo.basi hana maana yoyote kwa chochote.

Kundi la watu milioni hamsini kufikiri kua wote ni wapiga dili na wewe tu ndo mkombozi,ikiwa na wewe umetoka kwenye kundi hilohilo,basi mawazo hayo ni ya kidikteta kwa viwango vyovyote vile.
 
You over protect him than what you do to protect your creator and your family. Rais ni mwanasiasa na sijui mnatoa wapi dhana ya mwanasiasa asikosolewe. Maamuzi yake yana positive and negative effects to millions of people inside and outside the country sasa hao wanaokuwa affected either positively or negatively wakitoa positive comments mnashangilia ila wakitoa negative comments mnawaka. I assure you there will be no single hour ambayo watu wooooote kwa 100% watamsifia Rais wenu...never so mnajitaabisha kwa kitu ambacho hakipo na hakitakuwepo. Kusifia na kukosoa are both feelings.....hutaki kukosolewa basi kataza kusifiwa pia. Huyo JPM mmefanya kuwa zaidi ya Mungu. Mnakufuru. Hata kwenye biblia kuna mistari michache Mungu anakiri makosa/anajuta then who is JPM? Kuna mamilioni ya wanadamu wanamkosoa/wanamkufuru Mungu and yet He loves us all then who is JPM? Acheni kumuabudu JPM. Ameamua kuwa mwanasiasa, afanye siasa including kukosolewa/kusahihishwa.
Yes mkuu.tatizo jamaa hutaka kuwalazimisha watu wamuone kua yeye si mwanasiasa,hivyo kila alifanyalo halifanyi kama mwanasiasa bali mzalendo wa kwanza tangu Tanganyika ipate uhuru.

Wazalendo wa kweli hawapigi makelelee kila wakipata maiki,bali hutenda na kuacha jamii iamue kutokana na matendo yako.
 
Yes it is. Authoritarian Government ni ile inayoenforce "strict obedience to authority". Hapa kwetu usipoonyesha obedience kwa mtukufu na kuuliza uliza cha kufanya hata kwa vitu basic, utatupwa nje mchana kweupe.
 
Udkteta wa kishamba kabisa.. tena kwenye hayo maneno ya "sinister" na "authoritarian" ongeza na hili "tyrant"..
 
Wanabodi,

Huu ni uzi wa swali kuhusu Serikali Yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian", Jee ni Kweli?. Kama Sii Kweli, inamaanisha ni uongo!, Tusikubali Uongo Huu!, Tuukanushe, maana uongo ukisemwa sana bila kukanushwa, mwisho wake hugeuka kuwa kweli!. Na uzalendo ni pamoja za kutokubali nchi yako isemwe vibaya kwa kuzushiwa uongo na media za nje, huku sisi wenyewe, tumenyamaza tuu!. Kunyamaza huku kutapelekea dunia kuamini yote yanayosemwa kuhusu Tanzania ni kweli.

Nakiri kupandisha uzi huu kutokana na bandiko la Mkuu Return Of Undertaker
Gazeti la Uingereza laimulika serikali ya Magufuli na kusema ...

Jarida la Africa Confidential toleo la 58, story number 20 lililochapishwa Oktoba 6, limesema hivi kuhusu Tanzania.
Vol 58 No 20
Published 6th October 2017
"Magufuli on the warpath
6TH OCTOBER 2017
An assassination attempt against an opposition leader raises suspicions about sinister government tactics
When 40 bullets were pumped into the car carrying Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) member of parliament Tundu Lissu outside his Dodoma home on 7 September, claims of the country's descent into authoritarianism suddenly became more credible".

Hawa jamaa wamesema serikali yetu ni "sinister" na pia inaendesha nchi kwa mtindo wa "authoritarianism"!. Haya sio maneno mazuri kwa serikali iliyoingia madarakani kwa ushindi halali katika sanduku la kura, kupitia uchaguzi ulioendeshwa na Tume huru ya Uchaguzi, hivyo uchaguzi ulikuwa ni huru na wa haki, hivyo matokeo ni halali, na nchi yetu inaendeshwa kwa kufuata misingi ya katiba, na kuheshimu utawala wa sheria.

Ikulu yetu, Waziri Mwakyembe na Idara yetu ya Habari, tusikalie kuyafungia tuu magazeti ya ndani kwa kutoa habari za kweli msiopendezwa nazo, huku tukikaa kimya wakati habari za uongo kuhusu nchi yetu zikienezwa na media za nje!, habari yoyote ambayo sii ya kweli, kuihusu Tanzania na rais wetu, ikitolewa, tusikae kimya, ikanushwe!, vinginevyo itaonekana ni kweli!.

Mbona Kikwete alipotuhumiwa kwa kitu kitu kidogo tuu, kuhongwa suti, Ikulu yetu ilikanusha, kwa nini hizi media za nje, zinaituhumu serikali yetu kwa mambo makubwa, na mabaya hivi, halafu serikali yetu imekaa kimya, imenyamaza?.

Hata kama serikali imenyamaza, lets say iko too bize na mambo muhimu zaidi kwa taifa, hivyo haina time na vituhuma hivi vya media za nje, jee wako wapi Watanzania walendo wa kweli wa kuitetea nchi yetu yetu inaposemwa vibaya?!.

Mimi naomba kujipambanua kuwa ni Mtanzania Mzalendo, na kwa mujibu wa fani yangu, kazi yangu na uwezo wangu ni kuandika tuu au kusema!, rais wetu alipotuhumiwa kuhongwa suti nilisema.
Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi ...

Hata kelele kuhusu udikikiteta wa Magufuli ziliposhika kasi nilisema
Udikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka ...

Magufuli aliposemwa vibaya na SABC, nilisema
Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu ...

Magufuli aliposemwa vibaya kuhusu Mimba za utotoni, pia nilisema
Je, Huku Sio Kudhalilishwa Kwa Rais Wetu na Media za Nje?. Jee ...

Na sasa hapa serikali yetu inaposemwa vibaya, nimeandika na kushauri tusikubali, tusikae kimya, tukanushe unless kama yanayosemwa kuihusu serikali yetu ni kweli!.

Mungu ibariki Tanzania.

Jumapili Njema.

Paskali.
Hapa nitasaidia neno La kimombo linalotumika kukanusha ''The Government of Tanzania Has Refuted ..........! Kwa kiswahili Tuna Weza sema Serikali ya Tanzania Imekataa Kwa Kichwa cha Mbwa..........!
 
Kwenye hoja ya udikiteta wa rais Magufuli, kuna madikiteta wabaya na madikiteta wazuri au madikiteta wema.
Madikiteta wazuri ni wale ambao wanafanya vitendo vya udikiteta kwa nia njema, hata ikibidi kuivunja katiba, au kukiuka sheria, taratibu na kanuni, kwa nia njema, ni udikiteta unaokubalika, mfano katiba inaruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano, rais Magufuli anataka watu wafanye kazi na sio kuwa wazururaji kwa kisingizio cha kufanya maandamano, au kuwa ni watu wanaokaa bure tuu kwa kisingizio cha kuhudhuria mikutano ya siasa, watu wenye muda wa kuhudhuria mikutano ya siasa kila siku ni watu wasio na kazi, hivyo kama tangazo lake la kupiga marufuku mikutano ya siasa na maandamano ni ili watu wasizurure ovyo, na wasikae onyo bila kufanya kazi, then huu ni udikiteta mzuri. Dikiteta wa aina hii anaitwa a benevolent dictator.

Hata kuachiwa kwa Babu Seya, sheria hairuhusu wabakaji na wauwaji kuachiliwa kwa msamaha wa rais, kilichofanyika pia ni udikiteta, ila umefanywa kwa nia njema kuwa vipindi walivyotumikia gerezani, wamejirekebisa, na sasa ni watu wema, hivyo udikiteta is not necessarily ni udikiteta mbaya, udikiteta mwingine ni udikiteta mzuri.

Big up sana rais Magufuli.

Paskali
 
Mkuu, swali ni zuri sana na lilipaswa libaki kama lilivyo. Baada ya hapo wachangiaji wangetoa viashiria/variables kukubali au kukataa kisha ungeweza ku conclude basing on hizo varibles huku ukiweka mawazo yako. Tatizo umeuliza swali na kulijibu mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom