Serikali yawataka wakulima wa korosho kurudisha fedha, korosho zao hazina ubora

Huyu nchi imemshinda kama hamjagundua ,kuajiri kashindwa ,kuongeza mishahara kashindwa ,kukopesha wanafunzi elimu ya juu kashindwa ,kumantain dola kashindwa , kukusanya kodi kashindwa ,kuvutia wawekezaji kashindwa ,kutunza na kusimamia pesa za umma kashindwa 2.4 Tilioni ,Kulunda usalama wa watanzania kashindwa( kuteka kuuawa) ,Huduma za afya kashindwa ,kuboresha sekta binafsi na uchumi kashindwa ,kuteua viongozi bora na makini ,kashindwa ,kutenda haki na kufuata sheria kashindwa ,ccm hebu tuondoleeni MTU wenu mlietusukumizia .
 
Sa zingine unaweza kuona hata aibu kuwa mtanzania! Tuna shida sana vichwani mwetu. Ukitaka kuona hili subiri uchaguzi wa 2020!

Wacha tusome namba huenda akili zitaturudia na kuamua kufanya mambo tofauti.
 
Ina maana walinunua bila ya kuhakikisha ubora?

Sasa Kwanini walishinikiza Wafanyabiashara binafsi wanunue korosho zote kwa bei Moja Elekezi wakati Korosho wametambua zina Madaraja?

Tatizo la Wanasiasa wetu wanaamini wao wana weledi wa Biashara, Uvuvi , kilimo, uimbaji, uchezaji Mpira , U DJ , n.k

Eneo pekee wanaloheshimu taaluma Ni Uchawi ndio sababu wachawi hawabughudhiwi
Sema tatizo la wanasiasa wa ccm sio wanasiasa
 
Back
Top Bottom