Pinokyo Jujuman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 552
- 104
Serikali imeidhinisha kuanzishwa kwa Mamlaka ya Uendelezaji Mji wa Kigamboni pamoja na kutenga fedha za kutosha kuwalipa fidia wakazi wa mji huo watakao hamishwa na wale wa kurasini ambao maeneo yao yanachukuliwa kwa ajili ya upanuzi wa Bandari.
Serikali imesema fidia imeongezwa na italipwa ktk mwaka ujao wa fedha unaoanza Julai mwaka huu.
Akitoa maelezo ya serikali NW Ardhi alisema mamlaka ya kuuendeleza mji wa Kigamboni itaanza rasmi baada ya taratibu za kuanzishwa bodi kukamilika.
source:Habari Leo.
Serikali imesema fidia imeongezwa na italipwa ktk mwaka ujao wa fedha unaoanza Julai mwaka huu.
Akitoa maelezo ya serikali NW Ardhi alisema mamlaka ya kuuendeleza mji wa Kigamboni itaanza rasmi baada ya taratibu za kuanzishwa bodi kukamilika.
source:Habari Leo.